BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,494
- 4,076
"Mind game"...hahaaa
Kwa mara ya kwanza in pubic unakiri in a very open way kwamba vikombe kwa Chelsea msimu huu no vigumu kuchukua...
Lakini sielewi ni wapi huwa unajitoa ufahamu kwakweli.
Ngoja kwanza.
Asante Mkuu!
Nimekua Naomba Man Utd waifunge Munich mpk wachukue kombe ikiwezekana ili msimu ujao washiriki UCL! bado niko na matumaini ya Man Utd kufanya vzr at the second leg in Munich! But it needs nguvu na Uwezo wote kuwatoa hao jamaa! Kwahiyo timu ikiwa na umoja mtafanya vzr!
Ulishawahi kuona Mimi nakimbia tukifungwa?
Kwa mara ya kwanza in pubic unakiri in a very open way kwamba vikombe kwa Chelsea msimu huu no vigumu kuchukua...
Lakini sielewi ni wapi huwa unajitoa ufahamu kwakweli.
Ngoja kwanza.
Aaaaah! aaaah! Wewe tena huwa unajificha uvunguni unakubali kushirikiana na Kunguni ili usionekane tena humu ndani.
tatizo huwa anajifanya Mwehu wakati si tunamtambua kuwa ana akili timamu.
Acha kujidanganya wewe,ManUnited anahitaji droo,Chelsea anshitaji kushinda at least 2 bila.PSG wakija darajani itakuewa zamu ya Cahill kumfunga Petr Cech maana Luiz na Terry wao wameshafanikiwa kumfunga
Let him talk dude as much as he can! Lkn afahamu kua Chelsea wako na nafasi nzuri kuliko Man Utd!
Mkuu si kwamba nakiri hadharani! No! Nazungumza ukweli!
Agenda ya Man City ilikua ni kuchukua makombe matatu msimu huu! Na Arsenal pia baada ya kipindi kikavu kirefu msimu huu agenda yenu ilikua ni kuchukua vikombe! Liverpool wao ni kuingia top4 ili msimu ujao washiriki UCL!
Chelsea ilikua ni kujenga timu na Ndio Maana ata Roman Abramovic Yuko kimya na Jose as well! Kwahiyo Kwetu sisi ktk Club yetu Tuko kimya! Lkn pamoja na huo ukimya tunafukuza makombe kimyakimya na kuyakabili kimya kimya kwasababu pamoja na kwamba tunajenga timu Lkn lazima tucheze na kujaribu kushinda! Hizo Ndio zimekua kauli za club officially! Na kitu kingine unapaswa kufahamu Jose amerudi England kivingine sio muongeaji sn km pale awali! Malengo yake pia ni kuchukua kombe Au makombe Lkn hasemi wazi! Anajificha kwa kusema anajenga timu!
Kwahiyo sio km najitoa ufahamu! Naelewa kila kitu vzr na Hali ya timu yng na madhumuni ya Mmiliki Wa timu na kocha na wachezaji pia!
Let him talk dude as much as he can! Lkn afahamu kua Chelsea wako na nafasi nzuri kuliko Man Utd!
Let him talk dude as much as he can! Lkn afahamu kua Chelsea wako na nafasi nzuri kuliko Man Utd!