Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Navyojibu hoja zenu vzr naonekana naongea sn!

Teh Teh Teh Teh

Hahaaaa nafurahi tu unavyokiri kwamba ligi zote zinakuwa ngumu huku mwishoni, na matumaini yako yanayeyuka siku hadi siku.
Nikuambie kitu....Yesu aliulizwa na shetani "Hivi we umeondoka kule duniani umewaachia nn wanadamu, YESU akajibu nimewaachia Biblia na Roho Mtakatifu. Shetani akasema mi nimewaachia mpira."
 
Hahaaaaa Katavi kanisaidia we ndo rafki uliyebakia mwenye makelele humu, unakomaa mbaya.



Teh Teh Teh

Ulikua wp kunitaja wazi? Au unaogopa? Mpira lazima matani Yawepo mangi tu! Kasoro matusi Ndo mwiko! We si unaona twajadiliana uzuri kabisa! Teh Teh Teh Teh

Huu Ndio mpira Mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Yani wewe Ndio kigeugeu! Nayakumbuka yote ninayosema kwasababu ni mambo ambayo nayafahamu vzr!

Nilisema hivi history inaoenesha kwamba Jose Mourinho hajawahi poteza kombe hasa ligi inapofikia hatua Hii huku akiwa anaongoza ligi! Sikuzungumza habari za Chelsea Au habari za kutokupoteza mechi! Kwahiyo uwe unasoma hoja zangu vzr then unaelewa vinginevyo wewe Ndio utakua unaongea sn!


Teh Teh Teh Teh


Yani hapa mtatosha tu! Mnakuja na vihoja vyenu Mbuzi! Teh Teh Teh! Sisi wengine Chelsea damudamu km nimekunywa Maji ya daraja!

Aisee....agh we ni nouma mkuu! !
Umekunywa maji ya daraja.
 
Hahaaaa nafurahi tu unavyokiri kwamba ligi zote zinakuwa ngumu huku mwishoni, na matumaini yako yanayeyuka siku hadi siku.
Nikuambie kitu....Yesu aliulizwa na shetani "Hivi we umeondoka kule duniani umewaachia nn wanadamu, YESU akajibu nimewaachia Biblia na Roho Mtakatifu. Shetani akasema mi nimewaachia mpira."



Mkuu Mimi sijakiri ata Kidogo! Ni wapi nimekiri nioneshe! Mbona mnanizuria vitu ambavyo sijasema?

Teh Teh Teh Teh! Au mnanitega?

Rafiki yng Sinziga timu Yako iliongoza ligi kwa nusu msimu sasaiv ata top four mnamashaka! Everton akiwafunga tu na mkadroo Ka mechi kamoko basi mmeumia! Mtakua sawa na Man Utd


Alafu hayo mambo ya Yesu tuyaache Mkuu! Huko kwingine unataka kwenda!
 
Last edited by a moderator:
Ni vizuri tumekuona tena ukiwa hai. You went into hiding after we spanked your fat ar$e six times. Au unanitafuta nikupige bao nyingine za nguvu? Ina maana sita hazikuchoshi bado? khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!

Maumivu yakizidi mwone Daktari wa JF khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Tajiri akifa na timu inakufa ... ... ... ... ..Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee mtakoma mwaka huu chacha mtamrudisha nani Acheni Lote au Di Mateo!.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
article-2595866-1CC6479A00000578-195_306x423.jpg


Top scorer ... ....


article-2595866-1B3206B800000578-323_306x423.jpg


Frozen out ... .... ... ....


article-2595866-1CC640CB00000578-407_634x440.jpg


Tor the Res ... .... ..


article-2595866-1CC6066B00000578-444_634x400.jpg


Bench warmer ... ..
Khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
CHELSEA FC 6 - 0 ARSENAL FC.
1. ETOO.
2. SHURRLE.
3. HAZARD.
4. OSCAR.
5. OSCAR.
6. SALAH.

karibuni darajani tena nyinyi wafaransa wa uingereza; PSG watajuta kuzaliwa JUMANNE usiku. wakaulize NAPOLI.

:boxing:
Aisee....agh we ni nouma mkuu! !
Umekunywa maji ya daraja.
 
CHELSEA FC 6 - 0 ARSENAL FC.
1. ETOO.
2. SHURRLE.
3. HAZARD.
4. OSCAR.
5. OSCAR.
6. SALAH.

karibuni darajani tena nyinyi wafaransa wa uingereza; PSG watajuta kuzaliwa JUMANNE usiku. wakaulize NAPOLI.

:boxing:

Karibu tena jukwaani,tunamshukuru Invisible kuamua kukufungulia toka kifungoni
Jumanne itakuwa zamu ya Cahill au Ivanovic kumfunga Petr Cech
 
Last edited by a moderator:
na jumatano wakati matokeo yatakapokuwa hivi:

BAYERN MUNICH 5 - 0 MAN UNITED.:A S 13:

Manchester United hatuna mabeki wanaoshindana kumfunga golikipa wao kama wanafanya kina Terry na Luiz
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom