Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ata 4 tutawapiga! Siku hiyo ni kufia uwanjani!

Unakumbuka game za Fc Barc? Unataka kuniambia Psg ni wazuri kuliko Barc ilivyokua?


Teh Teh Teh

We know what to do men!

Kulikuwa na Drogba,Mata,Meireles enzi hizo,now wamebaki magarasa tupu,mabeki wenu siku hizi wanashindana kumfunga kipa wenu.I hope next game itakuwa zamu ya Cahill kumfunga Cech
 
hali sio hali....
nakumbuka ile turn around vs Napoli season mbili nyuma..but we will only have chance kama kikongwe Etoo akiwa fit...ila huyu Stricker wetu expensive hatuna kitu mule..
KTBFFH


#ktbffh
 
Kulikuwa na Drogba,Mata,Meireles enzi hizo,now wamebaki magarasa tupu,mabeki wenu siku hizi wanashindana kumfunga kipa wenu.I hope next game itakuwa zamu ya Cahill kumfunga Cech



Mkuu Belo yani Mimi Moyoni sina hofu kabisa kwasababu naiamini sn timu yng na iko imara sn!

Una haki ya kukosoa uwezavyo lkn ngoja j4 wiki ijayo utakaa kimya mwenyewe!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Belo yani Mimi Moyoni sina hofu kabisa leaseback naiamini sn timu yng na iko imara sn!

Una haki ya kukosoa uwezavyo lkn ngoja j4 wiki ijayo utakaa kimya mwenyewe!

Kocha Morinyo ana hofu wewe endelea kujipa matumaini lile goli la 3 limemaliza biashara
 
Last edited by a moderator:
Kocha Morinyo ana hofu wewe endelea kujipa matumaini lile goli la 3 limemaliza biashara

Uwezo Wa kuwapiga goli Zaidi ya mbili tunao sn! Wewe subiri j4 utaona moto!
 
Cheksick bana...kwa,hiyo msimu huu mnamaloza bila kuchukua ndoo hata,moja..duh
 
Cheksick bana...kwa,hiyo msimu huu mnamaloza bila kuchukua ndoo hata,moja..duh

Wanachukua ubingwa wa taarabu,maana kocha wao vitendo vyake ni kuongea tu.Anafikiri chelsea aliyoiacha miaka kadhaa nyuma na mfumo aliokuwa akiutumia ni vile vile ambavyo anapaswa kivitumia.
Makocha wengi wanajifunza,vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno.

"Nlikuwepo":bolt:
 
some wheels falling off... Big Mouth MOU has a lot to chew now
domo.jpg
 
Wanachukua ubingwa wa taarabu,maana kocha wao vitendo vyake ni kuongea tu.Anafikiri chelsea aliyoiacha miaka kadhaa nyuma na mfumo aliokuwa akiutumia ni vile vile ambavyo anapaswa kivitumia.
Makocha wengi wanajifunza,vitendo vinaongea zaidi kuliko maneno.

"Nlikuwepo":bolt:

Kocha kusema mwaka huu hana striker, au anajenga timu ya ushindani ni kosa, au ni kuongea sana?........... wapi ameongea sana?
Hebu sema walipi aliongea sana, zaidi ni kwamba ukimpa neno anakupa neno!!, saikolojia ya mpira ni kabla, wakati na baada ya dkk 90.
SP
 
Acha kutapatapa wewe, arsenal wameingiaje hapa?
hhahaa, mkuu mbona umeguswa? kwanini ulishangaa Chelsea kupita mwaka huu bila kikombe? nilitaka ujue siyo ajabu, kuna timu kama Arsenal na Liverpool wamekaa miaka ya kutosha , wengine hata big four walisahahu!! wengine leo wana kaa nafasi ya 7 kwa nusu mwaka, hahahaaa

SP
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom