Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ha ha ha!kajificha uvunguni?ngoja nimuambie lavezzi and co wamtembelee Huko Huko uvunguni!
 
From the minute Ramires amepokea kadi ya njano mchezo wake wote ukabadilika. Aliacha kukaba kabisaaa. He should have been substituted.

Ndo hivyo kwa leo Mou akubali kafanya makosa ya upangaji na hakuwa keen kuangalia subs za kufanya. Ramirez kamfanya Moura aonekane midfield wa ajaaabu.

Willian and Hazard have to be more goal oriented. Hizo chenga zao kama za Cavanni ndo zimemfanya Cavanni akose kama matatu hivi. They should work on feeding the striker (tutakayemsajili next season lol).

Kwa kweli leo nimemmiss Eto'o..!!!

Kwangu mimi Ramires na Matic ni midfielders wazuri sana kukaba but very poor when they have the ball. Luiz siku hizi namuona bettter kuliko Ramires pale kati...he is more composed n relaxed anakaba na kuangalia pa kupeleka mpira.

Anyway kwa game ya leo hiyo ndo analysis yangu. Subs za haraka zilikuwa mbili tu: Lampard for Ramires and Torres/Ba for Schurrle.

Sad but we still have a second chance at home. Lets focus on Sunda...

Yule kipa wetu kule Atletico tumrudishe next season..naona Cech muda wa kuwa kama Cassilas umekaribia sasa..
Etoo,Lukaku na one more striker ..huyu Torres na Ba safari yao imeishia hapa.
 
From the minute Ramires amepokea kadi ya njano mchezo wake wote ukabadilika. Aliacha kukaba kabisaaa. He should have been substituted.

Ndo hivyo kwa leo Mou akubali kafanya makosa ya upangaji na hakuwa keen kuangalia subs za kufanya. Ramirez kamfanya Moura aonekane midfield wa ajaaabu.

Willian and Hazard have to be more goal oriented. Hizo chenga zao kama za Cavanni ndo zimemfanya Cavanni akose kama matatu hivi. They should work on feeding the striker (tutakayemsajili next season lol).

Kwa kweli leo nimemmiss Eto'o..!!!

Kwangu mimi Ramires na Matic ni midfielders wazuri sana kukaba but very poor when they have the ball. Luiz siku hizi namuona bettter kuliko Ramires pale kati...he is more composed n relaxed anakaba na kuangalia pa kupeleka mpira.

Anyway kwa game ya leo hiyo ndo analysis yangu. Subs za haraka zilikuwa mbili tu: Lampard for Ramires and Torres/Ba for Schurrle.

Sad but we still have a second chance at home. Lets focus on Sunda...

pole mkuu. nategemea vile vipicha vyako soon.mmecheza bila striker,mourinho alikuwa anadefend??kama ndio ilikuwa mbinu yake kafeli,karuhu 3-1.

inabidi mshinde 2-0 kwa defence yenu na strike force ya PSG sidhani kama hawatapata goli hata moja,all the best next tuesday
 
From the minute Ramires amepokea kadi ya njano mchezo wake wote ukabadilika. Aliacha kukaba kabisaaa. He should have been substituted.

Ndo hivyo kwa leo Mou akubali kafanya makosa ya upangaji na hakuwa keen kuangalia subs za kufanya. Ramirez kamfanya Moura aonekane midfield wa ajaaabu.

Willian and Hazard have to be more goal oriented. Hizo chenga zao kama za Cavanni ndo zimemfanya Cavanni akose kama matatu hivi. They should work on feeding the striker (tutakayemsajili next season lol).

Kwa kweli leo nimemmiss Eto'o..!!!

Kwangu mimi Ramires na Matic ni midfielders wazuri sana kukaba but very poor when they have the ball. Luiz siku hizi namuona bettter kuliko Ramires pale kati...he is more composed n relaxed anakaba na kuangalia pa kupeleka mpira.

Anyway kwa game ya leo hiyo ndo analysis yangu. Subs za haraka zilikuwa mbili tu: Lampard for Ramires and Torres/Ba for Schurrle.

Sad but we still have a second chance at home. Lets focus on Sunda...

Pole sana wape salamu wenzio waliojipa ban,leo umeanza kukiri Ramirez na Matic ni wabovu wakiwa na mpira hapo najua moyoni unamkumbua Juan Mata
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
pole mkuu. nategemea vile vipicha vyako soon.mmecheza bila striker,mourinho alikuwa anadefend??kama ndio ilikuwa mbinu yake kafeli,karuhu 3-1.

inabidi mshinde 2-0 kwa defence yenu na strike force ya PSG sidhani kama hawatapata goli hata moja,all the best next tuesday

Duh mkuu unajua kweli kufariji...inabidi tukutafutie kazi TACAIDS.

There z no way wakapenya hao Chelsea.
 
Pole sana wape salamu wenzio waliojipa ban,leo umeanza kukiri Ramirez na Matic ni wabovu wakiwa na mpira hapo najua moyoni unamkumbua Juan Mata


Acha hizo Mkuu!
 
pole mkuu. nategemea vile vipicha vyako soon.mmecheza bila striker,mourinho alikuwa anadefend??kama ndio ilikuwa mbinu yake kafeli,karuhu 3-1.

inabidi mshinde 2-0 kwa defence yenu na strike force ya PSG sidhani kama hawatapata goli hata moja,all the best next tuesday



Teh Teh Teh

Unaikumbuka game ya Napoli na Chelsea chini ya De Matteo?

Psg lazima apigwe tu!
 
CFC bado inanafac kubwa kuliko manure

Acha kujidanganya wewe,ManUnited anahitaji droo,Chelsea anshitaji kushinda at least 2 bila.PSG wakija darajani itakuewa zamu ya Cahill kumfunga Petr Cech maana Luiz na Terry wao wameshafanikiwa kumfunga
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Asante Mkuu!

Btw game sio mbaya! Darajani lazima tuwapige!

wasiwasi wangu mtaweza kuwazuia wasifunge hata moja?? kuwapiga 2-0 hao jamaa ni kazi wana very talented players ambao wanaweza kufanya maajabu kama PASTORE alichofanya dk ya 92.
 
Huyu anapigaga mdomo kabla game halijafikia siku yenyewe, one week b4 ndiyo anapatikanaga



Ulishawahi kuona Mimi nakimbia tukifungwa?

Teh Teh Teh

Ukiwa na bondia mzuri kamwe huwezi kuweka Pesa kwakwe! Ndo Chelsea sasa! Hii Ndio timu ninayo iamini!
 
wasiwasi wangu mtaweza kuwazuia wasifunge hata moja?? kuwapiga 2-0 hao jamaa ni kazi wana very talented players ambao wanaweza kufanya maajabu kama PASTORE alichofanya dk ya 92.


Ata 4 tutawapiga! Siku hiyo ni kufia uwanjani!

Unakumbuka game za Fc Barc? Unataka kuniambia Psg ni wazuri kuliko Barc ilivyokua?


Teh Teh Teh

We know what to do men!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom