Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Manaenda kupigwa zaidi ya 130m Kwa average player....
Safi Sana Liverpool,
Safi Sana Liverpool,
Kuwakomesha zaidi livakuku aka kuku kishingo tumbebe na Lavia ,kwani shingapi ?Safari hii mkijartibu mtakula chuma
Hata kama tukimpata Caicedo, nitaendela kuwaheshimu Arsenal maumivu waliyopata tulipomteka Mudryk


kati ya siku nilicheka basi leoToa mdomo hapa, Brighton waliwapelekesha mechi za msimu uliopita kwa sababu ya CaicedoManaenda kupigwa zaidi ya 130m Kwa average player....
Safi Sana Liverpool,
tukiwapata wote wawili itakua tumefanya biashara safi sana natamani iwe ivyoDili la Tyler Adam bado na anweza akaishia Brighton kama Chelsea wakimchukua Caicedo
View attachment 2714566
Nafikiri kwa sababu ya FFP rules italazimisha Chelsea kumuacha Adamstukiwapata wote wawili itakua tumefanya biashara safi sana natamani iwe ivyo
Ndio la wasap
🚮🚮🚮Ofa aliyoweka Liverpool hamuwez kufika
Medical anafanyiwa kesho![]()
Hahaaaa unaogopa kufukuliwa goli 7 kama za msimu uliopita na hao vibonde wetu kuku kishingo ? ,Mimi kwangu naomba caicedo abaki the blues naona ni Bora kuliko kwenda Liverpool.
🚮🚮🚮Unajipa matumaini hewa ,Liverpool wamewazidi endeleeni kunununua average players tukutane EPL
Eghbali ni li mafia hatariKwa sasa hivi nasikia huyu Eghbali ndie hatari hata zaidi ya Boehly
Yeye ndiey alimkataa Vlahovic
Yeye ndie aliyekataa kushindwa kwa Caicedo
Yeye ndie aliyeshinikiza hadi Enzo akatua darajani sekunde ya mwisho dirisha kufungwa
Yeye ndie mwamba wetu kwa sasa
🚮🚮Anakuja wakati Jana ilikuwa siku ya MWISHO.. BHA waliitenga na wakafanya auction aloweka bid KUBWA ndio anamchukua...TATIZO KWA LIVERPOOL LILIKUWA CAICEDO MWENYEWE ALIKUWA ANAITAKA CHELSEA...SASA KLOPP ANESHAMSHAWISHI...HII DILI ISHAISHA,ACHA KUJIPA TUMAINI HEWA
Ila Chelsea dah, Wala hawajashindwana hapo ni kulinda FFP , hiyo 20 inaongezewa kwa caicedoMazungumzo ya kumsajili Tyler Adam imevunjika sababu Chelsea na Leed United wameshindwa kukubaliana
View attachment 2714596
Mazungumzo ya kumsajili Tyler Adam imevunjika sababu Chelsea na Leed United wameshindwa kukubaliana
View attachment 2714596
Sio FFP hayo yalikuwa ni mawazo yangu tu, Fabrizio anaripoti kuwa dili la Caicedo ndio imesimamisha kwanza hiyo move, alishapimwa afya ilikuwa kusaini Documnents tuIla Chelsea dah, Wala hawajashindwana hapo ni kulinda FFP , hiyo 20 inaongezewa kwa caicedo