Ina maana Chelsea mpk muda huu hawajamchukua tu?si amesema mwenyewe anapenda kwenda ChelseaTaarifa zinadai kuwa Chelsea wanatakiwa kulipa Pauni mil 105 tu zaidi ya hapo ni kwenda kinyumae na sheria za FFP
Watumie ujanja wa Barcelona chap chap
Hiyo taarifa inaelekea ni feki, nimeondoa. Bado hawajachukua Deadline ni leo usiku kwa upande wa BrightonIna maana Chelsea mpk muda huu hawajamchukua tu?si amesema mwenyewe anapenda kwenda Chelsea
Nimecheka sana mkuuu Cash moneyanakupiga na mapesa usoni na matusi juu
Kwahyo Caicédo wanampiga chini auDouble deals
Moja tayari
Taarifa rasmi ni kwamba Chelsea wameafikiana na Soton kumsajili kiungo wao Romeo Lavia kwa pauni mil 50 kama walivyotaka Southampton
BREAKING: I've been told Chelsea have got an agreement with Southampton for Romeo Lavia for £50 million.
Ila kiukweli Chelsea tulikuwa hatumuhitaji Lavia, sijui tajiri wetu miluzi ana shida gani na Liverpool
Untouchable, huyo hata kwa mil 300 tutamnunua, haguswi huyoKwahyo Caicédo wanampiga chini au
Kwahyo hadi kufikia asubuhi majibu yatakuwa yamepatikana?Untouchable, huyo hata kwa mil 300 tutamnunua, haguswi huyo
Hii ya Lavia ni ugomvi wa Boehly na mabosi wa Liverpool, nasikia mabozi wa Chelsea walikasirika jana kwa Liverpool kuwanyima usingizi
Mimi shida yangu ipo kwenye utaratibu inayotumika Chelsea ya kutapanya pesa ovyo...isijekuwa jamaa anasafisha pesa chafu ya Madawaska ya kulevya kutoka Mexico zinazoingia huko Amerika.Untouchable, huyo hata kwa mil 300 tutamnunua, haguswi huyo
Hii ya Lavia ni ugomvi wa Boehly na mabosi wa Liverpool, nasikia mabozi wa Chelsea walikasirika jana kwa Liverpool kuwanyima usingizi
We jamaa kitumbua kweli Yani unaongea utumbo wa tetesi uchwara hahahaha dah kijana unasikitihsa unafiriki Liverpool malofa kama wewe haya hawashushi Sasa hiyo 111 tajiri miluzi anapigwa vibaya aisee kakurupuka watu wanamcheki akishindwa kuilipa caicedo anabaki brighton mpaka 2027🤣🤣🤣🤣🤣Kumbe tatizo liko hivi
Chelsea wamewaomba Liverpool waondoe hiyo bid yao kwa sababu mchezaji ameichagua Chelsea
Brighton wakawaambia Liverpool wasiondoe ili Chelsea warudie kuomba tena
Sasa Chelsea wameamua kulipa mil 50 wanayotaka Soton ili kuwalazimisha Liverpool kuondoa hiyo bid yao ya Mil 111
Wakifanya hivyo Chelsea sio lazima wafikishe mil 111, ile ya mil 100 itatosha kumleta Caicedo darajani. Hukumu sasa iko mikononi mwa Liverpool
Boehly & Eghbali have taken over negotiations. Strategic games.Liverpool have not removed their bid for Caicedo. Chelsea want the bid removed, as Caicedo has made it clear he wants to join Chelsea & then Chelsea won’t have to go above Liverpool’s bid.Brighton have asked Liverpool to keep their bid in, so Chelsea forced to bid again.As a retaliation, Chelsea (similar to Liverpool with Caicedo) have put a £50m overall package bid in for Romeo Lavia to Southampton that has been accepted.Chelsea will happily take the player, they love Lavia, but equally they want to try & force Liverpool to remove their bid for Caicedo & instead move for Lavia.Lots of moving parts.
View attachment 2714846
Yaani usajili wa Lesley haukuwa wa amana kama Lavia alikuwa asajiliwe. Ila tunyamaze kwa sababu malengo na maono ya hawa wamiliki wapya hatuzijui kwa undaniMimi shida yangu ipo kwenye utaratibu inayotumika Chelsea ya kutapanya pesa ovyo...isijekuwa jamaa anasafisha pesa chafu ya Madawaska ya kulevya kutoka Mexico zinazoingia huko Amerika.
Wewe ni teja, keyboprd tu inakusitiriWe jamaa kitumbua kweli Yani unaongea utumbo wa tetesi hahahaha dah kijana unasikitihsa unafiriki Liverpool malofa kama wewe haya hawashushi Sasa hiyo 111 tajiri miluzi anapigwa vibaya aisee kakurupuka watu wanamcheki akishindwa kuilipa caicedo anabaki brighton mpaka 2027🤣🤣🤣🤣🤣
Kuna watu wao wako tu hapa Jamii Forums labda kwa sababu ya lugha ya ughaibuni n i ngumu wakati sisi wengine tunaingia hadi jikoni kwenye habari, tukiileta hapa wanaanza mitusi na kujidhalilisha
Mzee we kubwa jinga haujitambui na caicedo watu hawamuuzi Kaa kwakutulia hivyo hivyo endelea kuandika porojo humu labda sio BrightonWewe ni teja, keyboprd tu inakusitiri