Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Klop alipoulizwa kuhusu dili la Caicedo alisema
Ni kweli Liverpool na Brighton wameshakubaliana dau la kumsajili Caicedo
Alipoulizwa kuhusu makubaliano na mchezaji alisema

"Tutaona"
"We will see"

Ni masa 10 sasa tangu wakubaliane bei vilabu viwili lakini Klop kashindwa kuongea na mchezaji
Naona ya Raphinha na Kounde inataka kujirudia hapa
Caicedo bado yupo London, lolote linaweza kutokea ,Chelsea alishafanya groundwork kubwa kwenye hili dili
 
Mpaka sasa Ni 50/50 kati ya Chelsea na Livarpool ya kumsajli Caseido

Liverpool Na Briton wamefikia makubaliano

Chelsea na Caseido wamefikia makubaliano

Liverpool na Caseido hawana Makubaliano

Chelsea na Briton hawana makubaliano

MUAMUZI WA MWISHO HAPO NI CASEIDO MWENYEWE
 
Mpaka sasa Ni 50/50 kati ya Chelsea na Livarpool ya kumsajli Caseido

Liverpool Na Briton wamefikia makubaliano

Chelsea na Caseido wamefikia makubaliano

Liverpool na Caseido hawana Makubaliano

Chelsea na Briton hawana makubaliano

MUAMUZI WA MWISHO HAPO NI CASEIDO MWENYE endelea kuota
 
Tajiri miluzi karejea asee

𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Moises Caicedo is having second thoughts about the move to Liverpool. The player and his representatives are still in London amid reports Chelsea are coming back in for him.

(Source: Sky Sports)
Halafu kuna hao wapuuzi wa Liverpool wam,evuta bangi wanakuja kubisha ukweli huo
Sisi Chelsea hatukatai kuwa Caicedo anaweza kwenda Liverpool ila yanayojiri ndio hayo
Na mchezaji akikataa timu uamuzi wake unaheshimiwa
Kilichopo sasa ni Chelsea wafikie dau walilotoa Liverpool au kama kweli Caicedo haitaki Liverpool atarudi Brighton/ Hizi facts hawa mashabiki plastics hawazielewi
 
Mpaka sasa Ni 50/50 kati ya Chelsea na Livarpool ya kumsajli Caseido

Liverpool Na Briton wamefikia makubaliano

Chelsea na Caseido wamefikia makubaliano

Liverpool na Caseido hawana Makubaliano

Chelsea na Briton hawana makubaliano

MUAMUZI WA MWISHO HAPO NI CASEIDO MWENYEWE
Au Chelsea kufikia dau la Liverpool na wakifikia sidhani kama Liverpool watarudi kwa sababu mchezaji haipendi Liverpool
Hii ni kama zile dili za Raphinha na Kounde
 
Mtekaji sasa ndie anatekwa nyara, Ngoma hii inogile kweli kweli
1691750754529.png
 
Ila Chelsea mnapenda fujo

Liverpool hijacked Chelsea’s deal for Moises Caicedo with a £110million bid, and now Chelsea are trying to hijack Liverpool’s hijack with an even bigger bid.
 
Taarifa tulizopewa kutoka ndani ya uongozi wa Chelsea ni kwamba Chelsea wako tayari kulipa zaidi ya walichotoa Liverpool ili tu kumpata mlengwa wao namba moja tangu mwezi wa tano
 
Halafu kuna hao wapuuzi wa Liverpool wam,evuta bangi wanakuja kubisha ukweli huo
Sisi Chelsea hatukatai kuwa Caicedo anaweza kwenda Liverpool ila yanayojiri ndio hayo
Na mchezaji akikataa timu uamuzi wake unaheshimiwa
Kilichopo sasa ni Chelsea wafikie dau walilotoa Liverpool au kama kweli Caicedo haitaki Liverpool atarudi Brighton/ Hizi facts hawa mashabiki plastics hawazielewi
Hawaelewi upepo umebadilika , wengi hawana vyanzo vya uhakika ndio wanabisha

Kuna uwezekano Tyle Adam akapelekwa Brighton muda huu na Caicedo akaelekea Chelsea
 
Halafu kuna hao wapuuzi wa Liverpool wam,evuta bangi wanakuja kubisha ukweli huo
Sisi Chelsea hatukatai kuwa Caicedo anaweza kwenda Liverpool ila yanayojiri ndio hayo
Na mchezaji akikataa timu uamuzi wake unaheshimiwa
Kilichopo sasa ni Chelsea wafikie dau walilotoa Liverpool au kama kweli Caicedo haitaki Liverpool atarudi Brighton/ Hizi facts hawa mashabiki plastics hawazielewi
Hujui kitu mzee endelea kuota mchezaji kashamaliza vipimo bado kutangazwa anfield
 
Ila Chelsea mnapenda fujo

Liverpool hijacked Chelsea’s deal for Moises Caicedo with a £110million bid, and now Chelsea are trying to hijack Liverpool’s hijack with an even bigger bid.
Hilo dili ni bora tukaachana nalo mchezaji wa kugombania sio mzuri kabisa atakuja kuflop huyu
 
Nasikia asubuhi Chelsea walikutana na Caicedo wakamboreshea mshahara wake, ulikuwa pauni 200k/week nadhani itakuwa juu ya hapo sasa
Mzee unaota utastukia upo mtaroni unataka kushindana na Liverpool hahaha ngoja uone🤣🤣
 
Hawaelewi upepo umebadilika , wengi hawana vyanzo vya uhakika ndio wanabisha

Kuna uwezekano Tyle Adam akapelekwa Brighton muda huu na Caicedo akaelekea Chelsea
Taja chanzo. Cha uhakika kinachomzidi Fabrizio romano
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom