Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

88th minute
sub inafanyika:
OFF: Paul Winstanley and Laurence Stewart.
IN: Behdad Eghbali and Todd Boehly.
Sasa ushindi ni dhahiri

Wote wameondolewa kwenye gurudumu la kuishawishi Brighton ituuzie Caicedo

Huyu Winstanley ndie aliyekuwa anaongoza haya mazungumzo tangu mwezi wa tano hadi Liverpool wanakuja kututeka nyarta dakika za mwisho mwezi huu
Mashabiki wengi walianzisha movement za kumtaka ajiuzulu au uoingozi umtimue
Hata kama alikuwa mzuri lakini mashabiki washaka na uwezo wake kwenye kudegotiate kwenye dili kubwa za timu kubwa kama hili la Caicedo. Sasa Boehly na Eghbali wenyewe ndio wanasimamaia Caicedo to Chelsea
Yale ya Benefica yanajirudia
Tunakumbuka ile ya Rui Costa
Walipoenda hawa jamaa hadi kilieleweka

Mimi niliamini haitajirudia tena ile ya Enzo hadi dili likafa, tukakata tamaa mara from no where jamaa walipanda ndege tena wakaend ana daktari kabisa ili apimwe huko huko
1691765145315.png
 
Chelsea pia wamedhamiria kumsajili Michel Olise na tuna mahusiano mazuri na Crystal Palace, tumekuwa tukiwapa wachezaji wetu wazur kwa mkopo na kwa kuuza
Natumaini hawatatufanyia kama Brighton walivyotufanyia

1691765773685.png
 
Chelsea pia wamedhamiria kumsajili Michel Olise na tuna mahusiano mazuri na Crystal Palace, tumekuwa tukiwapa wachezaji wetu wazur kwa mkopo na kwa kuuza
Natumaini hawatatufanyia kama Brighton walivyotufanyia

View attachment 2714623
Uhusiano mzuri ndio upewe tu mchezaji kama maandazi sio huyo olise sahau
 
Kama ilivyobashiriwa, Brighton wamewasiliana na Leed United kuhusu usajili wa Tyler Adams
Au Chelsea walimuachia Adams kama sehemu ya kuishawishi Brighton kulegeza msimamo
 
Independiente del Valle
Hawa jamaa ndio walimshauri Caicedo asubuhi kuwa asiende Liverpool na awape Chelsea nafasi ya kujitetea
Hii klabu inashiriki ligi kuu ya Ecuador na ndio klabu ambayo Caicedo aliicheza kwneye timu ya vijana 2016-2019 na baadaye 2019-2021 akapandishwa kuichezea timu ya wakubwa ambapo aliichezea mwaka mmoja tu ndipo akaja England kusajiliwa na Seagulls
 
Kuna watu wao wako tu hapa Jamii Forums labda kwa sababu ya lugha ya ughaibuni n i ngumu wakati sisi wengine tunaingia hadi jikoni kwenye habari, tukiileta hapa wanaanza mitusi na kujidhalilisha
Paniki ya nini we shoga olise haji Kwa mang'ombe fc
 
Agent wa Adams na Adams mwenye walijua kuwa dili lao linaweza kuvunjika kwa kile kilichotokea jana usiku
Sasa wanasubiri kusajiliwa Brighton kwani Brighton wameshaonana na agent wa Adams
 
Agent wa Adams na Adams mwenye walijua kuwa dili lao linaweza kuvunjika kwa kile kilichotokea jana usiku
Sasa wanasubiri kusajiliwa Brighton kwani Brighton wameshaonana na agent wa Adams
Kwahiyo tukusaidiaje we ng'ombe
 
Independiente del Valle
Hawa jamaa ndio walimshauri Caicedo asubuhi kuwa asiende Liverpool na awape Chelsea nafasi ya kujitetea
Hii klabu inashiriki ligi kuu ya Ecuador na ndio klabu mabyo Caicedo aliicheza kwney timu ya vijana 2016-2019 na baadaye 2019-2020 akapandishwa kuichezea timu ya wakubwa ambapo aliichezea mwaka mmoja tu ndipo akaja England kusajiliwa na Seagulls
Acha uongo we jamaa ni liongo sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom