Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Dirisha la usajili lenye mafanikio ya ajabu sana
Itaingia kwenye historia ya usajili tangu Chelsea ianzishwe
Kuondoa matakataka
Mkataba wa Colwill
Usajili wa Nkunku. Jackson, Andre Santos, Disasi, Lesley Ugochukwu, Robert Sanchez
Usajili tarajiwa wa Caicedo, Lavia, Adams, Kudus
Usajili wa makinda wa wakalisana wa kesho kama akina Angelo Gabriel na wenzake
Uteuzi wa kapteni kijana kabisa wa timu
Tunapika na watani wameshanza kuona wivu
#Arsenal #Liverpool #Mancity #Man United
Kazi iliyofanyika kwanza ya kufagia hii hapa
View attachment 2713159View attachment 2713160View attachment 2713161
Tulianza slow tumekuja kufanya comeback ya nguvu tumewaacha wapinzani midomo wazi wapi hamis77
 
Huyo kundu's umemtolea wapi maana sijaona taarifa zozote za hivi karibuni zikionesha tumetoa bid ya kumsajili au kukubaliana nae maslahi zaidi ya tetesi tu tofauti na mtu kama Caicedo ambaye kila dalili zinaonesha anakuja darajani.
lembu
Ubashiri
Story ya Kudus iko hivi
Chelsea walitaka kumsajili Olise na hilo dili linaonekana gumu kwa sababu ya majeruhi ya Olise
Kudus amewagomea Brighton kumsajili bila Release Clause kwa sababu hiyo Kudus anaonekana kabisa anataka kutumia Brighton kama daraja la kuja kucheza kwenye timu kubwa kama Chelsea
Brighton hawako tayari kuweka hiyo RC
Kwa sababu Chelsea walikuwa na interest huko nyuma na kwa sababu bado anahitajika hasa baada yua majeruhi ya Nkunku, Chelsea wakishamalizana na Caicedo hiyo kesho (matazamio tu) Chelsea watamgeukia Kudus kwa asilimia kubwa hayo ndio matazamio
 
Chelsea wameshalipa RC ya Adams na ameshapima mkojo kwa hjiyo anaweza akacheza jpili dhidi ya Liverpool
1691673158799.png
 
Naona liverpool nao wanataka kutuma offer kwa Caicedo,hii ngomq kama inaenda kuwa ngumu hivi.

Brighton walichokuwa wanakihitaji bidding war sasa wanakipata
 
Naona liverpool nao wanataka kutuma offer kwa Caicedo,hii ngomq kama inaenda kuwa ngumu hivi.

Brighton walichokuwa wanakihitaji bidding war sasa wanakipata
Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom