Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Brighton wamenifurahisa sana kwenye normal life, kama una kitu chako unakivalue haina haja ya kuteteleka. Mara ooh kitashuka thamani mara kitaibiwa. Mtaani kwenyewe ukifukuzia dem lazima ujipe time frem mkisumbuana sana mnaishia kudharauliana na kupeana masharti yasiyo na afya

Hasara kubwa hapa ni kupoteza mchezaji kwa mpinzani unaetegemea kuclose gap nae.

Nategemea kuona miluzi akifanya panic business ya kununua wachezaji wa mafungu kumpoza kocha

Mechi ya jumapili tumeshafungwa nje ya uwanja ndani ya uwanja ni suala la muda tu.
 
Mkuu, huku tunaumia lakini sidhan Kam pochettino na bodi walikua wanamuona kama target ya ku-secure mapema, kama ni tofauti na niwazavyo basi hata kwa 120m anakuja darajani.
Let's wait
Anakuja wakati Jana ilikuwa siku ya MWISHO.. BHA waliitenga na wakafanya auction aloweka bid KUBWA ndio anamchukua...TATIZO KWA LIVERPOOL LILIKUWA CAICEDO MWENYEWE ALIKUWA ANAITAKA CHELSEA...SASA KLOPP ANESHAMSHAWISHI...HII DILI ISHAISHA,ACHA KUJIPA TUMAINI HEWA
 
Anakuja wakati Jana ilikuwa siku ya MWISHO.. BHA waliitenga na wakafanya auction aloweka bid KUBWA ndio anamchukua...TATIZO KWA LIVERPOOL LILIKUWA CAICEDO MWENYEWE ALIKUWA ANAITAKA CHELSEA...SASA KLOPP ANESHAMSHAWISHI...HII DILI ISHAISHA,ACHA KUJIPA TUMAINI HEWA
Okay
 
Anakuja wakati Jana ilikuwa siku ya MWISHO.. BHA waliitenga na wakafanya auction aloweka bid KUBWA ndio anamchukua...TATIZO KWA LIVERPOOL LILIKUWA CAICEDO MWENYEWE ALIKUWA ANAITAKA CHELSEA...SASA KLOPP ANESHAMSHAWISHI...HII DILI ISHAISHA,ACHA KUJIPA TUMAINI HEWA
Brighton walivyo na tamaa hadi documents zisainiwe ndipo tujue dili limeisha. Chelsea wakipanda dau kabla hawajasaini Brighton watageuka
 
Caicedo anatakiwa na kila mtu pale Chelsea
Mashabiki waliokuwa wakimfuatilia kwa asilimia 90+% walikasirika sana kwa sababu dili la Chelsea lilikubaliwa kimsingi kabla ya mjinga fulani huko sijui Boehly alienda kupima maji kwa Lavia na yeye ndiye aliharibu kila kitu. Uzembe uliotokea ni mkubwa hata tukimpata Aurelien Tchouameni au Lavia hawezi kufikia ubora ambao Caicedo angeuleta kwenye timu. Mtindo wa kucheza wa Caicedo ni Kante akiwa na umri wa miaka 21, fikiria jinsi tulivyopoteza nafasi.
 
Caicedo alitakiwa na kila mtu pale Chelsea
Mashabiki waliokuwa wakimfuatili 90+% wamesononeka sana na wengine wameamka asubuhi wanaduawa kwa Sababu dili la Chel;sea lilishakubaliwa kimsingi kabla mpumbavu fulani pale sijui ni Boehly kwenda kupima maji kwa Lavia ndie katibua kila kitu.

A very big loss kwa kweli
Blunder iliyofanyika ni kubwa mnop
Hata tukimpata Aurelien Tchouameni au Lavia hawezi kufikia quality ambayo Caicedo angeleta darajani
Caiceod play styl yake ni Kante katika umri wa miaka 21 wewe fikira hapo tu tumepotezaje fursa
Kwa upande wangu mr LEMBU niko tofauti sana na issue ya Caisedo mwache aende pesa mingi sana muache aende maaana tupo tunatengeneza timu maana msimu hatupo kwenye kuwania chochote so ngoja vina hawa tulio nao tuwape muda hope tutafanyabvzr
 
Brighton walivyo na tamaa hadi documents zisainiwe ndipo tujue dili limeisha. Chelsea wakipanda dau kabla hawajasaini Brighton watageuka
Liverpool wamemkimbiza usiku usiku akafanyiwe vipimo kuepuka surprise za Toddy

Wanasema Chelsea mtamuona Caicedo kwenye mechi yenu kesho
 
Liverpool wamemkimbiza usiku usiku akafanyiwe vipimo kuepuka surprise za Toddy

Wanasema Chelsea mtamuona Caicedo kwenye mechi yenu kesho
Vipimo havihalalishi kuwa ni mchezaji wao ni kusaini documents tu tena pande zote mbili na mchezaji mwenyewe
 
Kwa upande wangu mr LEMBU niko tofauti sana na issue ya Caisedo mwache aende pesa mingi sana muache aende maaana tupo tunatengeneza timu maana msimu hatupo kwenye kuwania chochote so ngoja vina hawa tulio nao tuwape muda hope tutafanyabvzr
Hiyo ni kujifariji ambayo sio mbaya. Kuna maisha baada ya kumpoteza Caocedo
 
Caicedo alitakiwa na kila mtu pale Chelsea
Mashabiki waliokuwa wakimfuatili 90+% wamesononeka sana na wengine wameamka asubuhi wanaduawa kwa Sababu dili la Chel;sea lilishakubaliwa kimsingi kabla mpumbavu fulani pale sijui ni Boehly kwenda kupima maji kwa Lavia ndie katibua kila kitu.

A very big loss kwa kweli
Blunder iliyofanyika ni kubwa mnop
Hata tukimpata Aurelien Tchouameni au Lavia hawezi kufikia quality ambayo Caicedo angeleta darajani
Caiceod play styl yake ni Kante katika umri wa miaka 21 wewe fikira hapo tu tumepotezaje fursa
Brother Mimi Liverpool lakini hili dili hata sisi bado hatuamini kinachoendelea.
 
Mimi nilisema mapema hii tabia ya kuwa slow kwenye usajili itatutokea puani kuna watu wakanipinga lembu na mwenzake Cash Money Forever wakasema tunasajili kwa mikakati haya mmeona kilichotokea
Njia pekee ya kumsajil Caicedo ni kumatch bid ya Liverpool wakat huo huo tukiomba brighton wawe bado wajasign document.

Hii siku ya leo ndio ya muhim
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom