Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
Liverpool ni very tricky sana kwenye mambo ya transfers haya
 
Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
It's only that they don't value Lavia at £50M, that doesn't mean hawana pesa ya usajiri. Wadau mnasahau kilichotupata wakati tunamtaka Allison? Tuliishia kupanic na kumnunua Kepa
 
It's only that they don't value Lavia at £50M, that doesn't mean hawana pesa ya usajiri. Wadau mnasahau kilichotupata wakati tunamtaka Allison? Tuliishia kupanic na kumnunua Kepa
Klopp nasikia anondoka January sababu kubwa hapewi pesa za usajili
 
It's only that they don't value Lavia at £50M, that doesn't mean hawana pesa ya usajiri. Wadau mnasahau kilichotupata wakati tunamtaka Allison? Tuliishia kupanic na kumnunua Kepa
Usajiri ❌
Usajili ☑️
Huko shuleni mlienda kujifunza ujinga?
 
Hata Liverpool kaweka £110m mezani ,


(🟢) BREAKING:

Liverpool submitted their official bid for Moisés Caicedo tonight and Brighton are set to accept! LFC bid, set to break English transfer record — up to £110m total fee.

Moisés Caicedo will become Liverpool player on Friday, if all goes to plan.

[@FabrizioRomano]
 
Caicedo ni kambi popote Hana msimamo ,yule hata manjesta anaenda

Wachezaji wa hivi tamaa mbele

Thus why Arsenal tuliamua ku deal na wachezaji wenye Nia kweli

Caicedo hana msimamo
 
Ni aibu sio kwa sababu Liverpool wameshinda dili BALI kwa sababu tulipoteza muda na historia itatuhukumu. Tuna wakati wote duniani kumaliza hilo dili la Caiocedo lakini mbinu yetu imekuwa mbaya zaidi ya vizazi vyote. Natumai tuna plan B nzuri ambayo sio ya Lavia.

Ujinga huu. kweli tuna matajiri miluzi
Miezi mitatu, tumepoteza muda kuwaajiri watoto na kuacha startegic players kama Caicedo anakwenda kwa rivals
Kosa tu ni kwenda kufanya ujinga wa kumchukua Lavia
 
Ni aibu sio kwa sababu Liverpool wameshinda dili BALI kwa sababu tulipoteza muda na historia itatuhukumu. Tuna wakati wote duniani kumaliza hilo dili la Caiocedo lakini mbinu yetu imekuwa mbaya zaidi ya vizazi vyote. Natumai tuna plan B nzuri ambayo sio ya Lavia.

Ujinga huu. kweli tuna matajiri miluzi
Miezi mitatu, tumepoteza muda kuwaajiri watoto na kuacha startegic players kama Caicedo anakwenda kwa rivals
Kosa tu ni kwenda kufanya ujinga wa kumchukua Lavia
Caicedo hajawahi kuwa na msimamo , aliwaaminisha na mkajua mwisho mtamchukua ,
 
Now imagine having to watch Enzo - Chukwuemeka - Gallagher playing in the midfield of your club every weekend
 
Hata Liverpool kaweka £110m mezani ,


(🟢) BREAKING:

Liverpool submitted their official bid for Moisés Caicedo tonight and Brighton are set to accept! LFC bid, set to break English transfer record — up to £110m total fee.

Moisés Caicedo will become Liverpool player on Friday, if all goes to plan.

[@FabrizioRomano]
Hii ndo michezo michezo ya Liver. Uhuni mwingi sana na nilisema mapema
 
Ni aibu sio kwa sababu Liverpool wameshinda dili BALI kwa sababu tulipoteza muda na historia itatuhukumu. Tuna wakati wote duniani kumaliza hilo dili la Caiocedo lakini mbinu yetu imekuwa mbaya zaidi ya vizazi vyote. Natumai tuna plan B nzuri ambayo sio ya Lavia.

Ujinga huu. kweli tuna matajiri miluzi
Miezi mitatu, tumepoteza muda kuwaajiri watoto na kuacha startegic players kama Caicedo anakwenda kwa rivals
Kosa tu ni kwenda kufanya ujinga wa kumchukua Lavia
Bidding 100M katika siku ambayo mwenzako ametuma zaidi hiyo ni ujinga wa hali ya juu kutoka kwa madirector wetu na boehly.

100M kama angebid tokea nwanzo sahiv bidding war isingekuwepo.


We are doom.
Tumefanya ujinga wa hali ya juu
Alianze Ugarte tukashindwa match salary yake now Caicedo na sidhan kama tutamatch hiyo bid ya Liverpool
Watu wanabid 110M halaf sisi tunaenda bid 100M ambayo tungebid tokea mwanzo angekuwa mali yetu sasa hivi
 
Hii ndo michezo michezo ya Liver. Uhuni mwingi sana na nilisema mapema
Wewe uliliona ,ila mwenzako alikaza SHINGO...alkasema Liverpool Hana hiyo pesa,kwakuwa TU ameshindwa kufika 50£ miln kw lavia...UKWELI NI KWAMBA WALIONA HANA HIYO THAMAN,KULINGAN NA EXPERIENCE ALOKUWA NAYO...
 
Wewe uliliona ,ila mwenzako alikaza SHINGO...alkasema Liverpool Hana hiyo pesa,kwakuwa TU ameshindwa kufika 50£ miln kw lavia...UKWELI NI KWAMBA WALIONA HANA HIYO THAMAN,KULINGAN NA EXPERIENCE ALOKUWA NAYO...
Na Chelsea ijifunze sasa kuwa wepesi kwenye transfer zao. Tumepoteza muda na nguvu kwenye hii issue ya Caisedo, tunapaswa kuwa sharp sasa.
 
Liverpool wameshindwa kumnunua Lavia kwa mil 50 je wataweza kufikia hitaji la Brighton kwa Caicedo?

Kuna tetesi kuwa Brighton wanawatumia Liverpool kwa malengo mawili yenye kufaidisha pande mbili

Kwa Brighton Chelsea waongeze thamani ya bid lao

Kwa Liverpool ili Chelsea waachane na kumfukuzia Lavia waweke muda wao kubwa kwa dili la Caicedo
Oyaa amka usingizini na uache kuwa mchambuzi hisia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom