Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wala siokweli, unadhani Caicedo akikubali kwenda Liverpool, Liverpool hawatoi?

Hata sisi kwa Rice tuliambiwa hivo hivo eti waliingia kupandisha Bei, sikweli Nia walikuwa nayo

Hapo ni kuzidiana , Chelsea amefanya groundwork muda mrefu Sana ,ni ngumu mchezaji kuwasaliti

Liverpool walimuita Leo kwa medical kawagomea

Arsenal tulifanya groundwork kwa Rice kwa miezi 6, inakuwa ngumu mchezaji kuwagomea hata aje mwingine ajitie kimbelembele
Chelsea tunakaribia kuvunja rekodi yetu wenyewe
 
Kuna tweet niliweka kule kwenye akaunti yangu ya Tweete juzi kuwa

"Timu itakayoshikaman na mchezaji ndiyo itakayoshinda"
Baadaye walipokuja Liverpool kutoa bid yao na niliposoma Caicedo anaenda Liverpool nikafuta, sasa najuta kwa nini nilifuta kwa sababu ndiyo ingekuwa quote yangu kwamba mawazo yango yalikuwa sahihi

Sisi Chelsea tulijifunza sana kwenye dili za Kounde na Raphinha na naona sasa inatupa matunda mazuri

Liverpool nao watajifunza kwa hili dili la Caicedo kuwa usidandie lori kabla hujapatana na dereva
Kama mngemtaka caicedo siku 2 tatu hizi na liver nae angeingia siku 2 tatu hizi, Basi yeyote angeshinda

Ila OGOPA Sana watu walioanza mazungumzo na Mchezaji muda mrefu ,had amehamia London

Liverpool alijiamin personal term itakuwa rahis ,akabook na medical kabisa
 
Kuna tweet niliweka kule kwenye akaunti yangu ya Tweete juzi kuwa

"Timu itakayoshikaman na mchezaji ndiyo itakayoshinda"
Baadaye walipokuja Liverpool kutoa bid yao na niliposoma Caicedo anaenda Liverpool nikafuta, sasa najuta kwa nini nilifuta kwa sababu ndiyo ingekuwa quote yangu kwamba mawazo yango yalikuwa sahihi

Sisi Chelsea tulijifunza sana kwenye dili za Kounde na Raphinha na naona sasa inatupa matunda mazuri

Liverpool nao watajifunza kwa hili dili la Caicedo kuwa usidandie lori kabla hujapatana na dereva
Nyie ndio mlidandia dili LA lavia sisi huyo caicedo hatuna time nae tunaamua Sasa tuwakomoe sasa subiri I Bei ya Brighton watayokuja nayo🤣🤣🤣
 
Ndio tunataka hivyo sisi mtu apigwe 115 maana walishobokea dili letu LA lavia hahahahahaha
Unajichekesha chekeshaa Kama Malaya wa Riverside nini sasa? Kaa kwa Kutulia msijitie kutag Ubavu na Wanaume.

Umekaa unabisha bisha kama ni Mgeni wa Sajili za Aina Hii ya Kugombea mchezaji kwa kutumia Mbinu chafu. Au ww ni Lena kweny Ushabiki wa Mpira?
 
Unajichekesha chekeshaa Kama Malaya wa Riverside nini sasa? Kaa kwa Kutulia msijitie kutag Ubavu na Wanaume.

Umekaa unabisha bisha kama ni Mgeni wa Sajili za Aina Hii ya Kugombea mchezaji kwa kutumia Mbinu chafu. Au ww ni Lena kweny Ushabiki wa Mpira?
Kuna mbinu Gani chafu umetumia we matacall shoga kabisa wewe yaani sisi huyo caicedo hatuna time nae sema tumawaingiza Cha like Ili mpigwe kisawasawa sababu mnashoboka kwenye madili ya watu choko wewe wanakunusa nyuma sio
 
Nyie ndio mlidandia dili LA lavia sisi huyo caicedo hatuna time nae tunaamua Sasa tuwakomoe sasa subiri I Bei ya Brighton watayokuja nayo
Tulia ivyo ivyo usishangane na Huyo Lavia tukapita naye. Nyie mmeshajichokea tayari kwenye suala la matumizi ya Pesa kununua wachezaji na ndo kitamuondoa Klopp pale
 
Tulia ivyo ivyo usishangane na Huyo Lavia tukapita naye. Nyie mmeshajichokea tayari kwenye suala la matumizi ya Pesa kununua wachezaji na ndo kitamuondoa Klopp pale
Tuliza kinyeo hicho utakipoza boya wewe eti huyo lavia tukapita nae hapo mshapigwa Brighton wajanja sana choko wewe kama huwajui unakumbuka cucurela
 
Kuna mbinu Gani chafu umetumia we matacall shoga kabisa wewe yaani sisi huyo caicedo hatuna time nae sema tumawaingiza Cha like Ili mpigwe kisawasawa sababu mnashoboka kwenye madili ya watu choko wewe wanakunusa nyuma sio
Sasa Wewe ishia Kutukana na kujaribu kujikuta mjuaji na Timu yako hiyo. Binafsi matusi yako hayanitetereshi popote zaidi kwamba nakuona ni Juha usiye na uelewa wowote
 
Sasa Wewe ishia Kutukana na kujaribu kujikuta mjuaji na Timu yako hiyo. Binafsi matusi yako hayanitetereshi popote zaidi kwamba nakuona ni Juha usiye na uelewa wowote
Choko wewe na Mimi nani kaazna kutukana au umeishiwa pointi shoga wewe angalia huko nyuma tuta kufirahi
 
Tuliza kinyeo hicho utakipoza boya wewe eti huyo lavia tukapita nae hapo mshapigwa Brighton wajanja sana choko wewe kama huwajui unakumbuka cucurela
Inavyoonyesha Una matatizo ya Akili naomba nisiendelee kujadili lolote na wewe.

Nikiangalia post zako huku toka ulipoanza kushangilia na kufurahia Alichokifanya Liverpool ndo najua uwezo wako wa Masuala ya Michezo upo vp
 
Wajinga kweli hawaishi hivi Kwa akili Yako Liverpool anapigwa🤣🤣🤣🤣
 
Inavyoonyesha Una matatizo ya Akili naomba nisiendelee kujadili lolote na wewe.

Nikiangalia post zako huku toka ulipoanza kushangilia na kufurahia Alichokifanya Liverpool ndo najua uwezo wako wa Masuala ya Michezo upo vp
Choko wewe ungekua unajua na matatizo usinge nijibu fara mmoja tu wewe unaanzisha matusi halafu unalila Lia angalia utauponza shoga wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom