Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa wachezaji wanamuhitaji kocha sahihi. Akina Boehly wakikosea kusajili kocha wa msimu ujao, tujiandae tena kulia na kuanza kumfikiria kocha mwingine
  1. Tunamuhitaji kocha wa kuja kubadili mindset ya wachezaji
  2. Kocha mwenye uwezo wa kung'amua nani hafai ili auzwe
  3. Kocha mwenye kuweza kuwataka wachezaji wachezeje na wacheze kama kocha atakavyo - A demanding coach
  4. Kocha mwenye mamlaka juu ya wachezaji zaidi ya matajiri wa timu, tukimpata kocha Puppet kama Potter tumeisha
  5. Kocha mwenye uwezo wa kuwatumia kikamilifu akina Datro Fofana, Madueke, Felix, Havertz, Enzo, Mudryk, Mount nk hao wote ni hazina ya Chelsea na ni wachezaji wazuri ila ni kama watoto yatima wasie na baba
Ndio maana nikapendekeza Luis Enrique ndio anatufaa
 
Masela Fc
75C8A623-1E96-409F-BB78-63362BAA53BA.jpeg
 
Ndio maana nikapendekeza Luis Enrique ndio anatufaa
Naomba nipingane na wewe kidogo. Kwa maoni yangu Luis sio mzuri ki hivyo, mafanikio pekee aliyopata ni pale Barcelona chini ya umbrela ya Messi, nje na hapo anastrugle sana
Hana Command na wachezaji atatupotezea muda. Luis hataweza kushindna na akina PEP, Arteta na KLop na hata hao makocha wengine. Kwa maoni yangu hatawaweza hawa wachezaji. I don't ruleout. Ni kocha mzuri ila sio wa carder tumtakaye. Najua Boehly hawezi kumsogelea Conte kwa sababu wanamtaka Kocha watakayemshika masikio na kumburuta
 
Tuchel came in to replace lampard

Potter came in to replace Tuchel

And now Lampard come in to replace Potter who replace Tuchel who replace Lampard


Hakuna rangi mtaacha kuiona KENGE nyie
Wee takataka timu yako itabeba bakuli siyo ndoo
 
Naomba nipingane na wewe kidogo. Kwa maoni yangu Luis sio mzuri ki hivyo, mafanikio pekee aliyopata ni pale Barcelona chini ya umbrela ya Messi, nje na hapo anastrugle sana
Hana Command na wachezaji atatupotezea muda. Luis hataweza kushindna na akina PEP, Arteta na KLop na hata hao makocha wengine. Kwa maoni yangu hatawaweza hawa wachezaji. I don't ruleout. Ni kocha mzuri ila sio wa carder tumtakaye. Najua Boehly hawezi kumsogelea Conte kwa sababu wanamtaka Kocha watakayemshika masikio na kumburuta
Kumfanya neymar awe anapress si kazi ya kitoto kama hauna command Tuchel mwenyewe kashindwa pale psg. Enrique ni command kocha kama humfahamu vizuri
 
Hata hiyo Conference hatutaiona. Jamaa ndio atatusimika rasmi nafasi ya 11 akijitahidi nafasi ya 12
Last time nimeingia humu hii ndio ilikua comment yangu ya mwisho baada ya Lampard kupewa kibarua. Kiukweli hii thread imekua chungu sana kwangu naumia na moyo wangu na sina la kufanya. Sijui kwanini tunapitishwa hiki kipindi. Kwamba siku za neema ndio zimekwisha kabisa Daaah!!

Thread huwa naipita kama naaga maiti msibani hasa siku za mechi. Kukitulia kama hivi ndio nakuja
 
Last time nimeingia humu hii ndio ilikua comment yangu ya mwisho baada ya Lampard kupewa kibarua. Kiukweli hii thread imekua chungu sana kwangu naumia na moyo wangu na sina la kufanya. Sijui kwanini tunapitishwa hiki kipindi. Kwamba siku za neema ndio zimekwisha kabisa Daaah!!

Thread huwa naipita kama naaga maiti msibani hasa siku za mechi. Kukitulia kama hivi ndio nakuja
Simama muimbie Bwana
Lampard ni mkombozi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom