Acha ujinga wewe.Moja ya vitu nataka kujua hivi huyu Havertz ana nini cha ziada anachowafanyia makocha wa Chelsea, Lampard, Tuchel, Potter na leo tena Lampard .....
Hawa matajiri wetu wa sasa wanapenda sana PR,'From bad to worse..' mpaka mtakapo achana na makocha wa uingereza wale ni sawa sawa na makocha wa taifa star, acheni uzalendo wa kijinga tunarudi kule kule FL hana uwezo wakuinua hivyo vipaji vya hao watoto wa Chelsea....manusura ashushe Everton daraja unakuja kumpa team complicated zaidi ya Everton, huo ni ujinga.
Maana yake ni kwamba kama Wolves wasingepata goli 1 basi mechi ingeisha sare!😂Halafu tunafungwa goli moja always na tunashidwa kuchomoa ,hii sijui ni laana ya Abrahmovich na putin ?
Huoni wewe unayemtetea mchezaji mpumbavu kwa hayo magoli ya kuhesabu wewe ni zaidi ya mpumbavuAcha ujinga wewe.
Hukumbuki Havertz aliwafunga hadi Real Madrid kwenye ile second leg UEFA mwaka jana.
