Kinumbo
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 3,188
- 5,810


Lampard Lampizooo!!!
Kocha la boli, hapa top 4 uhakika sisi Chelsiii tunasema aje.


Lampard Lampizooo!!!
Kocha la boli, hapa top 4 uhakika sisi Chelsiii tunasema aje.
Mtolee mfano sterling alivyokuwa Liverpool na alivyokuwa chini ya GuardiolaKubishana na wewe ni matumizi mabaya ya akili ...
Anakuja kumalizia msim tuu na si wakudumu..Ety lampard anaweza kurudi, aisee Toddy ni maviiiiiiiiiiiii
Jamaa ananishangaza sanaMbona Luis Enrique ni kocha mzuri. Ana ubaya gani
Felix mtoe kwenye Hilo kundiKwanza kocha akija ahahakikishe Felix na Havertz wabakalia benchi watoto wapuzi sana wale....
Mimi nilisema kabisa huna haja ya kubisha. Sababu yangu nyuma ni hasira ya kumkosa Kante wakati timu inateseka kufungwa hovyo huku tunaye world class CM kalala mgonjwa. Maelezo yangu hayakuwa na lengo la ku question uwezo wa Kante. So cool guyKuna shabiki moja hapa alidhihaki Kante kwasbb ya kuumia na kusema Chelsea sio sehemu yawagonjwa aondoke tu. Lakini walio tizama mpira jana ni mashahidi kante ni zaidi ya mchezaji wa kawaida.
Anazidi hata wale walio nunuliwa million 130, ana nguvu ya work rate kuliko wale wenye miaka 23, 22, anazunguka uwanja wote ni attacking middle fielder mzuri pass zote hatari katoa yeye mpaka kocha akaona amtowe ili amlinde mpaka mechi ya Madrid.
Gharagha hafai kucheza katika kikosi cha kwaza yule hana skill yoyote na mwenzia Loftus cheek hao ni mzigo, Chelsea ikipata tactical kocha itatisha sanaa Liverpool angapigwa zaid ya tano ila mpagilio wa kocha ulikua wa hovyo.
The Blues mjiandae kucheza Europa, tena inawezekana hata kucheza Uefa kwa ile sheria mpya iliyopitishwa.Kuna dalili nimeziona leo huenda mikoba ya Potter akakabidhiwa Frank Lampard.
Todi ndo mpuuzi namba moja kuiharibu timuNiliwahi kusema huyo Todd hakupaswa hata kuweka bid ya kuinunua Chelsea
Kai hajielewi akiwa nje au ndani ya box...sio natural striker 9...mara nyingi anaua move za counter attack akipewa pasi!! Pia anaoenda kucheza nje ya box , cross zinapigwa kwenye 6 yard hayupoSio kwamba Kai ajui nini chakufanya akiwa uwanjani kama unavyosema sema hajui nini chakufanya akiwa kwenye 18 ya mpinzani, jamaa mambo ya msingi anafanya akiwa nje ya box kama kuchezesha team au kutengeneza nafasi ila akifika golini ndio tatizo linaanza kuwepo kwake
Hata hiyo Conference hatutaiona. Jamaa ndio atatusimika rasmi nafasi ya 11 akijitahidi nafasi ya 12Mletewa babysitter, nyie mnamuita mlezi.. mkae kwa kutulia sasa.
Road to conference league.
Europa mtaisikia kwenye bomba.



...We don't have ChoiceKwa Maoni yangu kuhusu kocha
Nimeona mijadala ya nani atafaa kuwa kocha wetu wa msimu ujao for me katika makocha tunaohusishwa nao namuona anayetufaa ni Luis Enrique kwanini?
Kwa stage tuliofikia tunahitaji Kocha mwenye profile nzuri ya makombe, na mwenye experience ya kutosha ameshinda treble akiwa Barcelona, amefika final na team ya Taifa ya Hispania kombe la UEFA nation league akiwa na wachezaji wa kawaida sana wakina Moratta ndio striker, robo final ya Euro.Na Enrique ana vitu vyote hivyo kwanza ana experience ya kumage wachezaji wakubwa like Messi neymar jr luiz Suarez n.k
Kocha Mwenye Command na mwenye Win mentality
-Luis Enrique ni kocha mwenye demand kubwa Sana kwenye uchezaji yeye ndio alifanya Neymar, Messi na Luiz Suarez kupress high japo ni mastaa wakubwa sisi tunawachezaji wazuri ambao wanahitajika kupushia
Tactically ya Enrique
-Luis Enrique ni kocha ambaye alibadilisha aina uchezaji wa Barcelona kutoka mpira wa passi nyingi kwenda direct football anapenda usharpness wakushambulia uwe haraka kuwafikia opponent na Ndio maana chini yake Barcelona iliweka record ya kufunga magoal mengi Sana na Ndio kitu kunahitajika kwenye kikosi chetu Cha chelsea tuna changamoto ya kufunga magoal na tupo slow kwenye kumshambulia so mtu kama Luis Enrique ndio atakuwa tiba.
Kuna baadhi wanasema kama Luis ni mzuri kwanini alitoka kwenye hatua ya group stage na Hispania watu wanashindwa kujua Enrique kachukua Team Hispania mbovu Sana ikiwa haina Wachezaji wazuri kama tuliyoizoea yaani imagine Moratta ndio striker tegemezi wao kutoka kuwa na watu kama David Villa, Fernando Torres nk
Wana mtu kama ferran Torres ambaye alikuwa hapati hata number pale Man City lakini kutokana uhaba wa wachezaji wazuri ikijikuta anapata number kwenye Team ya Hispania.Pamoja na Team ya Hispania kuwa na wachezaji wa kawaida chini ya Luis Enrique lakini aliweza kuwapa atleast mafanikio mfano Alifikisha Fainal Hispania kwenye kombe la UEFA nation league, Robo final ya Euro kwa kikosi hicho hicho kibovu
Covax
lembu
Mbaga Jr
Cash Money Forever
Interlacustrine E
juan david
Mkohoti