Bachelor ll
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 4,103
- 6,698
Lampard aliongea vizuri na waandishi wahabari apewe mkataba wa maisha
Felix ni wa kawaidaShida iko kwa wachezaji tutalaumu na kubadili makocha kila uchwao ila inshu ni wachezaji. Tuna wachezaji wa kawaida sana, Havertz, Sterling, Gallagher, Chek, Felix na wengine wengi tu ni wachezaji wa kawaida sana
Upo kwenye wenge la mashabiki wa united mbele ya Rashford na Pogba kabla hajachafua hali ya hewa.Sio mbaya ila siyo sahihi
Baadhi ya wachezaji hawarespond vizuri kwa makocha fulani tu hata kama wote ni wazuri
Lampard aache wenge. 'What playing for Chelsea means....' kivipi tena? Chelsea siyo Manchester United ama Liverpool ama Arsenal waseme wana identity pale England. Ni timu tu ilipata bilionea mwenye malengo akaleta makocha na wachezaji wazuri akapata matokeo. Kocha aliyeshindwa kudeliver alipigwa chini chap Kwa haraka. If anything, Chelsea inatambulika ulimwenguni kama team ya mercenaries wala siyo timu yenye passion wala burudani wala lolote la maana. Hivyo akisema eti wachezaji watambue Nini maana ya kuchezea Chelsea, labda amaanishe kuwa mercenaries.At least Lampard ni afadhali kidogo kuliko yule Mbeba mizigo
Baada ya mechi Lampoard anasema
- NImechukizwa sana kwa kupoteza mechi yangu ya kwanza baada ya kurudi
- Wachezaji hawakucheza kwa ukatili kwenye hio mechi
- Wachezaji wanatakiwa kujua kuwa kuichezea Chelsea ina maana gani?
- Ina maanisha nini kuvaa beji ya Chelsea
- Mashabiki watataka kujua hayo
![]()
naomba kuuliza tunayecheza naye mechi inayofuata ni nani??? ajihesabiiee kuwa amekufa.
wale wakubet nenda kabsa kaweke nusu ya mali zako mpe chelsea. HATUTAKUANGUSHA.



jana umeangalia mechi mkuu,?Identity unayoizungumzia ni ipi mlevi wewe,Lampard aache wenge. 'What playing for Chelsea means....' kivipi tena? Chelsea siyo Manchester United ama Liverpool ama Arsenal waseme wana identity pale England. Ni timu tu ilipata bilionea mwenye malengo akaleta makocha na wachezaji wazuri akapata matokeo. Kocha aliyeshindwa kudeliver alipigwa chini chap Kwa haraka. If anything, Chelsea inatambulika ulimwenguni kama team ya mercenaries wala siyo timu yenye passion wala burudani wala lolote la maana. Hivyo akisema eti wachezaji watambue Nini maana ya kuchezea Chelsea, labda amaanishe kuwa mercenaries.
Afu hata situmii kilevi 😂😂😂. Anyway hivyo ndivyo wana Arsenal, Liverpool na Manchester United tunavyoiona Chelsea kama timu na, kiaina, mashabiki wa Chelsea
Ayo yote alishindwa kuyafanya everton?Ujio wa Frank Lampard utakuwa na adhari gani kwenye uchezaji
- Timu itakuwa inashambulia sana na kufunga sana
- Mpira mzuri utacheza wa haraka na kasi na direct
- Tutegemee pia kufungwa magoli yua kijinga jinga na pia kupoteza points za kijinga jinga

AsenoDaah.
Afu hata situmii kilevi. Anyway hivyo ndivyo wana Arsenal, Liverpool na Manchester United tunavyoiona Chelsea kama timu na, kiaina, mashabiki wa Chelsea
Inabidi June fagio lipite kuondoa matakataka yoteHavertz, Mount, Gallagher, Ziyech, Pulisic, Cucurela, Chek wote ni daraja C kiuwezo hawafai hata kuwepo kwenye level za academic players.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Apewe mkataba wa maishaLampard mikumi kabisa bado ni kijana

Awe kocha hadi atakapochoka mwenyeweLampard...mitano tena
Sisi tutamuunga mkono...atake asitakeAwe kocha hadi atakapochoka mwenyewe
Anafaa sana