Bobbyray
JF-Expert Member
- Dec 3, 2015
- 1,378
- 1,782
Yeye chaguo lake ConteKea ambao wapo sokoni yupi unaona ni Bora kuliko luis Enrique?
Yeye chaguo lake ConteKea ambao wapo sokoni yupi unaona ni Bora kuliko luis Enrique?
Conte achelewi kuchafua hali ya hewa na yeye alikuwa source mpaka tunastruggle kupata striker baada ya kumuuza Diego CostaYeye chaguo lake Conte
Diego alistahili kwa kukosa nidhamuConte achelewi kuchafua hali ya hewa na yeye alikuwa source mpaka tunastruggle kupata striker baada ya kumuuza Diego Costa
Conte ndio better kuliko Enrique?! naomba unieleweshe kw angle gani?Conte IMO
Katika makocha 10 bora kwenye football duniani huyo Luis hata hayupo, wachambuzi zaidi ya 10 niliwachunguza wamemuweka Conte kwenye nafasi ya 4-10. Huyo Luis hata karibu na 10 hayupo. Labda Luis Enrique atakuwa kwenye 10+ 0r 20+Conte ndio better kuliko Enrique?! naomba unieleweshe kw angle gani?
Sijui huwa mnaona nini kwa conte ambacho mm sikioni wallah.
Na mpira wake wa kupak basi.
Katika makocha 10 bora kwenye football duniani huyo Luis hata hayupo, wachambuzi zaidi ya 10 niliwachunguza wamemuweka Conte kwenye nafasi ya 4-10. Huyo Luis hata karibu na 10 hayupo. Labda Luis Enrique atakuwa kwenye 10+ 0r 20+
Makocha bora kwa sasa wanaozungumziwa ni hawa
- Pep Guardiola
- Hansi Flick
- Jurgen Klopp
- Thomas Tuchel
- Antonie Conte
- Carlo Ancelotti
- Diego Simeone
- Mauricio Pochettino
- Jose Mounrinho
- Zinedine Zidane
Christopher Viveli alikutana na agent wake wiki 2 zilizopita kule Madrid kwa kumshawishi aje kwenye mradi wa muda mrefu wa Chelsea. Huku ataheshimiwa sana. Kazi imebaki kwa Gavi na agent wake kukubali kuendelea na mazungumzo. Wanadai ujio wa Luis Enrique unaweza kuchochea Gavi kuja Chelsea
Gavi ni very tallented player na hasa kwenye kushambulia. Ni mcheza naweza kumfananisha na Enzo hasa kwenye kuweza kutengeneza nafasi za ufungaji au goal build up
View attachment 2584496
Aliewapanga hivyo ni nani? na wamepangwa hivyo kimafanikio, ki uwezo au? nilitegemea ungekuja na statistics ya hao makocha wawili Conte Vs Enruque. Ila iyo ya kuwapanga makocha tu hivyo hata mimi naweza nikawapanga wangu No.1. Lampard No.2 Potter ........n.kKatika makocha 10 bora kwenye football duniani huyo Luis hata hayupo, wachambuzi zaidi ya 10 niliwachunguza wamemuweka Conte kwenye nafasi ya 4-10. Huyo Luis hata karibu na 10 hayupo. Labda Luis Enrique atakuwa kwenye 10+ 0r 20+
Makocha bora kwa sasa wanaozungumziwa ni hawa
- Pep Guardiola
- Hansi Flick
- Jurgen Klopp
- Thomas Tuchel
- Antonie Conte
- Carlo Ancelotti
- Diego Simeone
- Mauricio Pochettino
- Jose Mounrinho
- Zinedine Zidane
Lampard anatoshaConte achelewi kuchafua hali ya hewa na yeye alikuwa source mpaka tunastruggle kupata striker baada ya kumuuza Diego Costa