Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 8,069
- 15,754
Siku naleta habari za Enrique kuwa ana mazungumzo na Chelsea FC kukabidhiwa timu ainoe pia niliona hiyo taarifa ya Lampard kuja kuwa Kocha wa mpito Chelsea FC, sikuhangaika kabisa na taarifa za Lampard maana nakumbuka nilinusurika kupatwa BP na kisukari enzi za akina Havertz na WennerLampard ni mpuuz, kuna wachezaji hawafai kuwa hat kwenye bench, ila utashangaa ndi 1st 11 yake Gallager, challobar, Havertz.
Bora hat Potter kuliko hii kiazi

Daaah hii PISI KALI tunaikosa hivi hivi Wana Chelsea FC wenzangu, hata hivyo tuna Pisi Kali zingine kama Depal na CarleenKwahiyo hizi ndo silaha zenu za kuwamaliza akina Benzema??
Nipo palena ahadi yangu.


Acha ubaguzi wewe, mbona hujamtaja AllyPipi ambaye kila siku alikuwa anatupatia updated news za Kocha HP ku-step down darajani akielekea kazini?

Huyo Van Der Sar alistaafu na utamu wake wa kudaka mpira hadi roho iliniuma, Man Utd wana bahati sana za kupata makipa bora tangu enzi za kina Peter Schmeichel.Kepa anafata nyayo za pepe Reina na Edwin van der sar apewe muda
Hali tuliyonayo sasa lawama zote zinaenda kwa Boehly na Wenzake, wanapenda sana PR,Hawa wachezaji wanamuhitaji kocha sahihi. Akina Boehly wakikosea kusajili kocha wa msimu ujao, tujiandae tena kulia na kuanza kumfikiria kocha mwingine
- Tunamuhitaji kocha wa kuja kubadili mindset ya wachezaji
- Kocha mwenye uwezo wa kung'amua nani hafai ili auzwe
- Kocha mwenye kuweza kuwataka wachezaji wachezeje na wacheze kama kocha atakavyo - A demanding coach
- Kocha mwenye mamlaka juu ya wachezaji zaidi ya matajiri wa timu, tukimpata kocha Puppet kama Potter tumeisha
- Kocha mwenye uwezo wa kuwatumia kikamilifu akina Datro Fofana, Madueke, Felix, Havertz, Enzo, Mudryk, Mount nk hao wote ni hazina ya Chelsea na ni wachezaji wazuri ila ni kama watoto yatima wasie na baba
Kocha mkali ambaye haendekezi nonsense ndio anatakiwa pale Chelsea ,hii tabia ya kuendekeza upumbavu dressing room na mbinu mbovu ndio imeleta huu ulemavu wa akili kwa wachezaji , wachezaji hawana mentality ya kushinda game ,wanacheza as if wamelazimishwa na mbinu ni mbovu ,no winning plan ,wanacheza as if chandimu sijui ,inakera sana ,hii the boys have everything ni upuuz ,angalia ni nonsense coaches kama Arteta , yule ni mkali dressing room na hataki mzaha hata kidogo na uwanjani hivyo hivyo ,hata kwenye mazoezi ,kuna clips anawafokea wachezaji wapuuz live ,huyu ndio coach sasa ,hata Guardiola ni hivyo hivyo .Hali tuliyonayo sasa lawama zote zinaenda kwa Boehly na Wenzake, wanapenda sana PR,
Huwe mtimua TT na ukamleta Potter Then Lamps.
Roman hakuwah fanya ujinga wa hivi
Timing aliyofukuzwantuchel haya ndio madhara yake yani sahiv tunaonekana kama kichekesho
Benzema hakuna kitu kaisha, jana walibanduliwa na akina ChunkuezeKwahiyo hizi ndo silaha zenu za kuwamaliza akina Benzema??
Nipo palena ahadi yangu.
Ndio maana mimi namtaka Conte ila wengine hawaoni tatizo ni kubwa tena sanaKocha mkali ambaye haendekezi nonsense ndio anatakiwa pale Chelsea ,hii tabia ya kuendekeza upumbavu dressing room na mbinu mbovu ndio imeleta huu ulemavu wa akili kwa wachezaji , wachezaji hawana mentality ya kushinda game ,wanacheza as if wamelazimishwa na mbinu ni mbovu ,no winning plan ,wanacheza as if chandimu sijui ,inakera sana ,hii the boys have everything ni upuuz ,angalia ni nonsense coaches kama Arteta , yule ni mkali dressing room na hataki mzaha hata kidogo na uwanjani hivyo hivyo ,hata kwenye mazoezi ,kuna clips anawafokea wachezaji wapuuz live ,huyu ndio coach sasa ,hata Guardiola ni hivyo hivyo .
Lampard idiot Hana uwezo kiakili na kimbinu kumanage hii timu ,sijui Boehly alikuwa anafikiria nini ,aisee
Hawa wachezaji wangekuwa chini ya Conte wengi wangechezea makofi kabisa ,maana upuuz ni mwingiKocha mkali ambaye haendekezi nonsense ndio anatakiwa pale Chelsea ,hii tabia ya kuendekeza upumbavu dressing room na mbinu mbovu ndio imeleta huu ulemavu wa akili kwa wachezaji , wachezaji hawana mentality ya kushinda game ,wanacheza as if wamelazimishwa na mbinu ni mbovu ,no winning plan ,wanacheza as if chandimu sijui ,inakera sana ,hii the boys have everything ni upuuz ,angalia ni nonsense coaches kama Arteta , yule ni mkali dressing room na hataki mzaha hata kidogo na uwanjani hivyo hivyo ,hata kwenye mazoezi ,kuna clips anawafokea wachezaji wapuuz live ,huyu ndio coach sasa ,hata Guardiola ni hivyo hivyo .
Lampard idiot Hana uwezo kiakili na kimbinu kumanage hii timu ,sijui Boehly alikuwa anafikiria nini ,aisee
Mchezaji kama Havertz kakosa kuwa chini ya kocha mzuri na sahihi kama unajua football. Kocha wa kuweza kumkemea aache kucheza kwa kuzinzia na ulegelege mwingi.Umezunguka halafu mwishoni unataja hazina zenu unamuweka havertz huyu jamaa lile goli lake la uefa linawatia upofu ila hana ukali huo wa kumtarajia alete makubwa. Tatizo ni mashabiki pia
Kabisa Conte pale Tottenham angeifikisha mbali ile timu ila mentality ya Daniel Levi ni so poor , hana njaa na makombe ,Ndio maana mimi namtaka Conte ila wengine hawaoni tatizo ni kubwa tena sana
Tuchel kocha mbaya?Mchezaji kama Havertz kakosa kuwa chini ya kocha mzuri na sahihi kama unajua football. Kocha wa kuweza kumkemea aache kucheza kwa kuzinzia na ulegelege mwingi.
Sio mbaya ila siyo sahihiTuchel kocha mbaya?
Kuna mechi ya ngao ilikuwa kati ya Edwin van der sar vs ChelseaHuyo Van Der Sar alistaafu na utamu wake wa kudaka mpira hadi roho iliniuma, Man Utd wana bahati sana za kupata makipa bora tangu enzi za kina Peter Schmeichel.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app