Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Clueless boehly anatakiwa aelewe kuwa football ni tofauti na baseball..huyu jamaa toka aje naona kabisa katuvurugia chelsea yetu na bado anaendelea kuivuruga kibaya zaidi hatambui kuwa anazidi kuivuruga kwa kuturudishia lampard.

No disrespect, yes lampard is a chelsea legend ila sio kocha mzuri bado ni armature coach anayetakiwa akae chini ya makocha wakubwa ajifunze tactics , team management etc
Tuna imani naye
Ni mfia chelsii,mzalendo wa kweli

Lampard mimingine.
 
Acha ubaguzi wewe, mbona hujamtaja AllyPipi ambaye kila siku alikuwa anatupatia updated news za Kocha HP ku-step down darajani akielekea kazini?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Allypipi Analia na nyumbu wenzake
Hahusiki.


Lampard for life
Mimingine apewe.


Nyie sisi hatujampa timu Gerrard mfia timu,mmetuona mazwazwa
Mnaenda chezea timu kwa kumkabidhi mtoto Lampard aipige danadana anavyotaka.

Na Bado,,
Hadi ligi inatisha mtakuwa mkiani kabisa.
 
At least Lampard ni afadhali kidogo kuliko yule Mbeba mizigo
Baada ya mechi Lampoard anasema
  • NImechukizwa sana kwa kupoteza mechi yangu ya kwanza baada ya kurudi
  • Wachezaji hawakucheza kwa ukatili kwenye hio mechi
  • Wachezaji wanatakiwa kujua kuwa kuichezea Chelsea ina maana gani?
  • Ina maanisha nini kuvaa beji ya Chelsea
  • Mashabiki watataka kujua hayo
FtOT9jIWAAASXjD
Mbwembwe tu hizo
Mtaimba ngonjera hizo hadi atahakikisha timu inafika 15 huko
 
Allypipi Analia na nyumbu wenzake
Hahusiki.


Lampard for life
Mimingine apewe.


Nyie sisi hatujampa timu Gerrard mfia timu,mmetuona mazwazwa
Mnaenda chezea timu kwa kumkabidhi mtoto Lampard aipige danadana anavyotaka.

Na Bado,,
Hadi ligi inatisha mtakuwa mkiani kabisa.
Naomba unishike mkono basi ili nijisogeze hapo Liverpool kupunguza stress Mrembo

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tuchel came in to replace lampard

Potter came in to replace Tuchel

And now Lampard come in to replace Potter who replace Tuchel who replace Lampard


Hakuna rangi mtaacha kuiona KENGE nyie

Nimecheka sana
Wanazunguka palepale

Nyotanyota kama zote
 
sir Alex Ferguson time anaanza kazi MANCHESTER United alifungwa mechi ya kwanza kama Lampard lkn alivyopewa muda akafanya wonders

Lampard mikumi kabisa ni kijana mzalendo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom