Kaka sisi imani yetu ipo kwa Super FrankieLast time nimeingia humu hii ndio ilikua comment yangu ya mwisho baada ya Lampard kupewa kibarua. Kiukweli hii thread imekua chungu sana kwangu naumia na moyo wangu na sina la kufanya. Sijui kwanini tunapitishwa hiki kipindi. Kwamba siku za neema ndio zimekwisha kabisa Daaah!!
Thread huwa naipita kama naaga maiti msibani hasa siku za mechi. Kukitulia kama hivi ndio nakuja

Nina imani na mkombozi Lampard mikumi kabisaEnrique Iglesias tena si Luis Enrique?
Kweli Bachelor II unaipenda sana Chelsea FC kuliko hata sisi Washabiki wake
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Good newsBREAKING NEWS: Chilwell anategemea kusaini mktaba wa miaka 4 na Chelsea,
![]()
Luius Enrique ni kocha mzuri ila we deserve a better coach than him, tumenyanyasika sana, tumetumia pesa nyingi kufanya usajili. Kwa sababu hiyo tunahitaji Kocha wa profile kubwa zaidi ya LuisKumfanya neymar awe anapress si kazi ya kitoto kama hauna command Tuchel mwenyewe kashindwa pale psg. Enrique ni command kocha kama humfahamu vizuri
Kwa hiyo kw maoni yako kocha unaefikiri better than him ni nani?Luius Enrique ni kocha mzuri ila we deserve a better coach than him, tumenyanyasika sana, tumetumia pesa nyingi kufanya usajili. Kwa sababu hiyo tunahitaji Kocha wa profile kubwa zaidi ya Luis
Itakuwa very westful kama tatizo la Chelsea litaendelea kuwa upande wa kocha
Super frankie Lampard mwamba wa miamba Ebenezer mwenyewe apewe mkataba wa maishaKwa hiyo kw maoni yako kocha unaefikiri better than him ni nani?
Conte IMOKwa hiyo kw maoni yako kocha unaefikiri better than him ni nani?
Kea ambao wapo sokoni yupi unaona ni Bora kuliko luis Enrique?Luius Enrique ni kocha mzuri ila we deserve a better coach than him, tumenyanyasika sana, tumetumia pesa nyingi kufanya usajili. Kwa sababu hiyo tunahitaji Kocha wa profile kubwa zaidi ya Luis
Itakuwa very westful kama tatizo la Chelsea litaendelea kuwa upande wa kocha