Hatujaharibu team wachezaji tuliowasajili ni Bora Sana ndio maana wameingia kwenye kikosi Moja kwa Moja shida yetu ni kocha uwezo ni mdogoKulikuwa hakuna maana ya kufanya usajili hata mmoja.
Tumeharibu timu badala ya kuiboresha.
Yani kocha unaon timu yako haifungi badala ya kutafuta solution unajisifia tumu inacheza vizuri but haina bahati huyu kocha kiazi kweliEty hatudai wala hatudaiwi
Msimu huu tumefunga goli 23 na tumefungwa goli 23
![]()
Wangetuachia tu Mudy wetu wazee tubebe naye kombe. Sasa dogo hana furaha, mechi hawashindi, balaa tupu
Hii kampeni nami nimeikubali, kila siku nitakuwa naingia hapa kuikazia kama alivyokuwa anasema "Zedudu" mshabiki wa Man UtdBado hajafukuzwa tu?



Kwa mbine chuma 4 acha masialaaWanangu wa Chelsea msiumie kwenye EPL hii tunaita "NEW MANAGER BOUNCE"
Sisi alitupiga Unai Emery na Villa yake, yani kama uchawi vile. Arsenal na form yao wakapigwa na Sean Dyche tena akiwa na Everton.
EPL huwa naogopa mechi ya mapema na kukutana na kocha mpya.Arsenal kashinda leo mechi ya mapema ila kwa mbinde.



Hii kampeni nami nimeikubali, kila siku nitakuwa naingia hapa kuikazia kama alivyokuwa anasema "Zedudu" mshabiki wa Man Utd![]()
Angalau amefika London na atakuwa anaweza kuhudhuria mechi zetu aone mpira wa timu inayojitambua unavyo chezwaMurdryk anajuta kuchagua Chelsea
Toddy alikurupuka kumfukuza Tuchel ,that was a terrible mistake ,na itatucost dearly , unamuondoa Tuchel unamleta potter ,are you nuts ? ,,Aliyenunua ndo msenge ameletea kocha wa kisenge tunapata matokeo ya kisenge
Boehly huyu Yankee cowboy yawezekana ni agent WA CIA , aliyetumwa kuzika hii club , trust me ,ile kuspend mapesa ni Geresha tu , huwezi spend pesa vile halafu uiache timu icheze kipumbavu hivyo na hakuna development yoyote wala achievementKama Boehly karidhika na Potter sisi nani, tuishi kwa matumaini tu
Kwa mechi ya leo wakiendelea kubaki naye, basi Boehly katumwa kuimaliza Chelsea
Hakuna kitu kiliniuma kama Tuchel kuondolewa, ad nikaja kulia huku jukwaani na kwenye pages za Chelsea. ht Hazard kuondoka haikuniuma kama hii ya TuchelToddy alikurupuka kumfukuza Tuchel ,that was a terrible mistake ,na itatucost dearly , unamuondoa Tuchel unamleta potter ,are you nuts ? ,,
Kila mechi wapo hata kwenye mazoezi, na hasa Boehly. Kuna kitu wanapikasijui hata kama huwa wanaangalia mpira