Bodi iandike tuu barua FA ya kujiondoa mashindano ya EPL.
Tukubali EPL imetushinda msimu huu.











siku atakapoondoka na akaja kocha wa kueleweka ndio siku tutafaidi hawa wachezaji.Aliyenunua ndo msenge ameletea kocha wa kisenge tunapata matokeo ya kisengeHata aliyenunua anajutia maamuzi yake
Kiukweli leo hii Chelsea imenikatisha tamaa kabisa kuiangalia kwa kile inachokicheza uwanjani.Potter hamna kocha hapasiku atakapoondoka na akaja kocha wa kueleweka ndio siku tutafaidi hawa wachezaji.
Villa Boas alikuwa mbovu ila sio kiasi hichi.

Madai yake kawapumzisha mechi zenyewe 1 kwa wiki huku mpaka leo bado hana kikosi cha kwanzaKukosekana kwa Silva pale nyum,a kumeonekana leo
Nidhamu hakuna hata kama Badiashile na Koulibally wanacheza vizuri ila sioni uongozi na utulivu
Mount hakutakiwa kuchukua nafasi ya Mudryk
Kocha yupp tu kama msimamizi vile hakuna chochote anachokifanya,Kiukweli leo hii Chelsea imenikatisha tamaa kabisa kuiangalia kwa kile inachokicheza uwanjani.
Wachezaji hawana;
Morality.
Consistency.
Hawajitumi kabisa.
Clear formation.
Wakuu huyu HP ni wakala wa kuiharibu Chelsea nini? Daaah![]()
Mjinga sana huyu kocha.Madai yake kawapumzisha mechi zenyewe 1 kwa wiki huku mpaka leo bado hana kikosi cha kwanza
Inasikitisha sana hii timuMjinga sana huyu kocha.
Kuna makocha wakupewa uvumilivu ila sio potter, kwa usajil uliofanyika ilikuwa nikitu cha haraka matokeo kuja na si habr za miezi.
Boehly-Eghbal wafanye maamuzi ya haraka vinginevyo wataonekana ni vituko.Inasikitisha sana hii timu