Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Potter alivyo mjanja hawezi jiuzuru anasubir kutimuliwa ili apate dau lake

Boehly-Eghbal huwez kumpa kocha ambae hajawah prov kitu chochote katika managerial career yake miaka 5.

Angekuwa Roman sahiv siku nyingi tushamsahau Potter.
Sahiv kocha akishakuwa na Loser mentality hata wachezaj hawawezi pambana
 
3D752B42-D945-48F8-81C4-8B92320CE8C0.jpeg
 
Kocha hamna hapa, hatujui tunacheza nini yani tangu amekuwepo hakuna mchezaj yeyote aliyeimprove chini yake.

Wakina Arteta,Klopp walihitaji mda kwa sababh team zao zilikuwa hazisajil kama sisi. Na hata kabla hawajasili matikeo yalikuwa yanaonekana sqsa huyu mpuuzi wa kingereza hana lolote huyu.

Villa Boas,Di matteo,Avram Grant hawa wote walikuwa wabovu ila hawakuwa na mentality ya kiloser kama ya huyu mpuuzi.

Hata hiyo long term project hatutofikia malengo kama Potter bado atakuwa kocha
Pole sana mkuu naona umeongea kwa uchungu mno ukweli ni aibu kubwa kwa kinachoendelea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom