Kocha hamna hapa, hatujui tunacheza nini yani tangu amekuwepo hakuna mchezaj yeyote aliyeimprove chini yake.
Wakina Arteta,Klopp walihitaji mda kwa sababh team zao zilikuwa hazisajil kama sisi. Na hata kabla hawajasili matikeo yalikuwa yanaonekana sqsa huyu mpuuzi wa kingereza hana lolote huyu.
Villa Boas,Di matteo,Avram Grant hawa wote walikuwa wabovu ila hawakuwa na mentality ya kiloser kama ya huyu mpuuzi.
Hata hiyo long term project hatutofikia malengo kama Potter bado atakuwa kocha