DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,878
Uzuri wake unaelewa kila kituBahati mbaya tutakutana na ile timu ya UEFA iliyoongezewa Badiashile na Mudryk, Felix naye atakuwa kamaliza ban
Hamna timu ya kuifunga Chelsea ya UEFA
Hii tu yenye majeruhi 11 mlibahatisha kagoli kamoja
Tutawageuza moto mpaka kila miona daraja mapemo yanawainukia