lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,704
- 25,947
Kumbe nimesahau, wakati wa UEFA hawakuwa matakataka ila leo karibu wote takatakaMchezaji gani alikuwa takataka ,,, au wewe ndio ulikuwa takataka
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Kumbe nimesahau, wakati wa UEFA hawakuwa matakataka ila leo karibu wote takatakaMchezaji gani alikuwa takataka ,,, au wewe ndio ulikuwa takataka
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Wewe kapime akili yako, nani kamdharau Hazard, kumlinganisha mchezaji ni kumdharau. Sijui wewe unaishije na wenzake au ndio hivi hivi. Nimchemabua vizuri maeneo wealiofanana na maeneo wanaotofautiana at the age of 22Acha kumtukana hazard,acha kuwafananisha mara moja wote tunawapenda
Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Mendy alikuwa katika kiwango kizuri.Timu iliyojaa matakataka halafu ikabeba UEFA, hapo ndio huwaga mpira wa miguu unaponichanganya sana. Hata hivyo pia ndio umuhimu wa Kante akiwa mzima unaonekana
![]()
Yule dogo mbrasil Santos napenda kuona anaanzaChunkwuemeka na wachezaji wanaofanana naye hawawezi kabisa kucheza na Mudryk, leo kipima joto tuliona. Chunkwuemeka kidogo atapike nyongo
Ebu tuone Felix akirudi na Madueke akianza
Kijana yuko sharp 10X hao waliocheza leo
Ghalagher anyejifanya kurukaruka hadi ananyang'wa mpira
He will be a real threat to all epl teams
Yaani hata asipofunga atafungua milango, madirisha na mageti yaliyofungwa
Natamani sana nione combination yake na hwa inakubali na kuleta magoli ya kutosha
- Madueke
- Datro Fofana
- Havertz
- Felix
- Nkunku
Hata mimi, ila utashangaa anakimbizwa kwenye mkopoYule dogo mbrasil Santos napenda kuona anaanza
Ziyech ,nidhamu hamna ,yule kirusi ,ni kama Alonso , kipipa Yule Bolingoli ,auzwe atachafua halo ya hewaShida ya ziyech anakiburi hicho ndio kinachomponza. Na anaweza kuwa toxic labda abadilike.
Bila kumsahau mzee GiroudMendy alikuwa katika kiwango kizuri.
Combination ya Rudiger+Silva+Christiansen.
Kante alikuwa katika kiwango bora.
Azp uwezo bado ulikuwepo.
Chil+James majeruhi yalikuwa bado hayajaanza.
Hii team ilijengwa zaidi kwa ajili ya knockout tu, na si kwa ajili ya kuwa bora michuano yote.
Mkuu huyo Mudryk bado mapema sana kuanza kumfananisha na HazardTunaposema nguvu ni kati ya Mudryk na Hazard tena ili iwe nzuri zaidi at the same age ya miaka 22 au karibu na hapo
Waache wengine waje kuhukumu hii mada
Yupo timu ya taifa anacheza ana alifunga goalHata mimi, ila utashangaa anakimbizwa kwenye mkopo
Msikilizeni huyu mtoto aliyepatikana gesti. ManinaaKwa maoni yangu, Mudryk ni zaidi ya Hazard kwa nini
Mudryk ana speed, Hazard hakuwa nayo
Mudryk ana nguvu, Hazard hakuwa nayo
Mudryk yeye ni direct focus (akipata mpira anatafuta goli liko wapi) wakati Hazard alikuwa anacheza wide zaidi (akipata mpira anaenda nao mbele nyuma kushoto, kulia hadi apate upenyo wa kuleta madhara)
Vitu ambavyo wanafanana
Dribbling
Passing na assists
Sio mapema tukilintanisha kwa umri wa 22 sio nyakati zote. That is normalMkuu huyo Mudryk bado mapema sana kuanza kumfananisha na Hazard
Kwan unamjua vzuri huyo mchezaji?Chelsea huyu tena wa nn jamn duh,anyways mtajiju naona mshapoteana[emoji23][emoji1787]View attachment 2491791
Sasa hauoni it's Obvious kuna panga laZima lipite....Sjui mna mpango gani wacha tuoneView attachment 2491792
Namjua ndiyoKwan unamjua vzuri huyo mchezaji?
Kwamba Hazard hana nguvu? Huu sasa ni ushabiki maandazi na kuendekeza mihemkoKwa maoni yangu, Mudryk ni zaidi ya Hazard kwa nini
Mudryk ana speed, Hazard hakuwa nayo
Mudryk ana nguvu, Hazard hakuwa nayo
Mudryk yeye ni direct focus (akipata mpira anatafuta goli liko wapi) wakati Hazard alikuwa anacheza wide zaidi (akipata mpira anaenda nao mbele nyuma kushoto, kulia hadi apate upenyo wa kuleta madhara)
Vitu ambavyo wanafanana
Dribbling
Passing na assists
Bahati mbaya tutakutana na ile timu ya UEFA iliyoongezewa Badiashile na Mudryk, Felix naye atakuwa kamaliza banHivi Cheltako ZOA ZOA FC mmeshakutana na Arsenal kweli
Saka hakabiki [emoji91][emoji91]
Xhaka wa moto
Nketiah kashindikana
Trossard kaingia kwenye mfumo
Odegaard ni iniesta mtupu
Msipopigwa 5 nipo pale
Beki kukulela kishingo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]