braza lemby wew ndio ulete uo ushahidi,, wa kuwa arsenal ishawah kuwa underdog epl
OK
Tuanze na maana ya Underdog.
Underdog = Asiyedhaniwa kushinda
Meaning: a team predicted to have little chance of winning the title.
Kiswahili: Timu shindani inayobashiriwa kuwa na nafasi ndogo ya kushinda kombe
Katika miaka 6 iliyopita Arsenal ilikuwa ikimaliza nje ya top 4 na miaka mingine hata ilishindwa kushiriki kwenye mashindano ya Ulaya, yaani UEFA, EUROPA na Conference League.
Sasa kwa kawaida timu ikishakuwa kwenye hiyo trend au mlolongo wa kushindwa kwa namana hiyo kwa zaidi ya miaka mitatu siku ikija kuibuka kufanya vizuri ndipo tunatumia neno Underdog
Arsenal hakuna aliyetabiri kwamba hadi sasa ingekuwa juu hapo kwenye uongozi wa ligi. Kwa sababu hiyo sasa ndipo neno Underdog inachukua nafasi yake. Mkichukua kombe, na miaka inayofuata mkaendelea kuwa contenders wazuri hilo neno linafutika lenyewe. It is natrural and automatic
Mfano hadi sasa, Man city pamoja na kufanya vizuri kwenye ligi, ikienda mashindano ya UEFA wanaitwa underdog, kwa sababu wana historia ya kufanya vibaya kwenye hayo mashindano.
Understood
Na muache inferiority complex, itawaua au kuwapanua miyoyo