Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leo Chelsea wameimprove kwenye kupress, bado tu ball controll na decision making
Hall bado ana kigugumizi cha maamuzi sana
Chunkwuemeka naye ni mzito kwenye kuamua hadi anashindwa kucheza. Havertz kajitahidi ila bado slender hachezi kama yuko EPL, Galagher anatakiwa aongeze tactical and technical balling skills.
Kule nyuma Silva na Badiashile wametuliza Meli kabisa. Makosa bado kwa sababu backline haija balance kwa sababu ya uwepo wa Cucurella na Chalobah.
Kiungo hatuna kabisa japo Jorginho leo kajitahidi. Natamani Kante angekuwepo na kiungo mbunifu kwenye attacking line
 
Mudryk kwa dakika alizochezq unaona ni mchezaj wa namna gani. Naona kabisa tumepata mchezaj.



Hii game ilikuwa ni yetu kabisa yani ni kama tumepoteza point 2.

Mount hafai hata kuanza kwa sasa yuko poor.
Kocha angemrisk akaanza tungeshinda
Tofauti ya Mudryk na hao akina Havertz

Mudryk hata kwenye presure kubwa bado anaweza kucheza mpira wakati akina HAvertz and co hadi iwe open play
Ukiangali ule mpira aliouchukua mguuni mwa Galagher kaenda nao hadi golini kawapita dfenda kama watatu hivi
Pia ule aliompasia Chinkwuemeka mara mbili hadi kijana kidogo atapike nyongo kwa kasi kubwa ya Mudryk
 
Leo Chelsea wameimprove kwenye kupress, bado tu ball controll na decision making
Hall bado ana kigugumizi cha maamuzi sana
Chunkwuemeka naye ni mzito kwenye kuamua hadi anashindwa kucheza. Havertz kajitahidi ila bado slender hachezi kama yuko EPL, Galagher anatakiwa aongeze tactical and technical balling skills.
Kule nyuma Silva na Badiashile wametuliza Meli kabisa. Makosa bado kwa sababu backline haija balance kwa sababu ya uwepo wa Cucurella na Chalobah.
Kiungo hatuna kabisa japo Jorginho leo kajitahidi. Natamani Kante angekuwepo na kiungo mbunifu kwenye attacking line
Badiashile ni beki mzuri katulia hana mawenge
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom