Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tukiachana na issue ya Potter.

Wachezaji nao inabidi waoneshe kwamba wanastahili kuvaa hizi jersey, waoneshe kujituma hata kama tunafungwa tuone juhudi ilikuwepo

Felix kaja juzi tu ila jana ndio kawa mchezaj wetu bora.
Kuna wachezaj wako halafu wanataka wapokee 300K kweli na hakuna lolote walilofanya mpaka sasa.

Potter tunamuhukum kwa sababu ya matokeo mabov yaliyofatana ila ukiachana na hilo wachezaj wetu nao wajitafakari hatuwezi tukawa kila siku tunachange kocha kwa kuhisi kocha ni mbaya
 
[emoji860] #Chelsea icon Frank Leboeuf calls for boss Graham Potter to be SACKED

[emoji187] "I'm very upset with what I see. I think it's really disrespectful. Mr Potter, enough is enough now, something needs to be changed. That's not the club I know. You are so far away from being a Champion of Europe." [emoji838][emoji838] #CFC
 
🎵Hilooooo. Ulijifanya wewe ni mbabe sana. Umekuja kupigwa na kijana mdogo. Aibu imekupata🎵
 
ile 3-4-3 imeshindwa kufanya kazi, hamna creativity wakifika kwenye box, haiwezekan i unafika kwenye box mara 25 ndani ya chezo afu unashindwa kufunga.

Felix naye mipango hamna, kishuti ka cha mtoto utamfunga nani - stanina hamna na ndiyo maana Simeoni alikukwa anamuweka bechi kule juve
Heee juve tena [emoji23][emoji23]
 
Halafu chalobah ana uwezo mdogo sanaa, yaan akiwa na mpira pasi zake huwa ni mbili, ampasie azp au arudishe kwa kipa. Inakuaje mimi huku nanjilinji naona lakin chaknoris pale pale uwanjani haoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dah tunapita kwenye mpito mkali sana..wale mashabiki wa huyu Potter mukuje apa muna lolote la kusema? Tuchel alikuwa kocha sahihi., potter ni level za akina lampard timu ipewe hata Ole Gunna [emoji24][emoji24][emoji24]
Chugaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nkamu kapumzike kidogo fujo unazozifanya kwa ndugu zetu hawa hawachelewi kukupiga mawe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii thread ya Chelshit ilivyo sasa,ndivyo Manyumbu united walivyokuwa mwaka
Jana.

Mimi kazi yangu moja tu!
Kucheka.

Ughonile Nkamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom