Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

HII CLUB YA MPIRA AU WODI YA WAGONJWA

Chelsea currently have [emoji647] first team players injured.

[emoji603] Kante (Hamstring)
[emoji603] Broja (Knee)
[emoji603] Reece James (Knee)
[emoji603] Loftus-Cheek (Calf)
[emoji603] Edu Mendy (Shoulder)
[emoji603] Fofana (Knee)
[emoji603] Chilwell (Thigh)
[emoji603] Sterling (Thigh)
[emoji603] Pulisic (Knee)
[emoji603] Zakaria (Unknown)
 
HII CLUB YA MPIRA AU WODI YA WAGONJWA

Chelsea currently have [emoji647] first team players injured.

[emoji603] Kante (Hamstring)
[emoji603] Broja (Knee)
[emoji603] Reece James (Knee)
[emoji603] Loftus-Cheek (Calf)
[emoji603] Edu Mendy (Shoulder)
[emoji603] Fofana (Knee)
[emoji603] Chilwell (Thigh)
[emoji603] Sterling (Thigh)
[emoji603] Pulisic (Knee)
[emoji603] Zakaria (Unknown)
Sick bay FC
 
Hii thread ya Chelshit ilivyo sasa,ndivyo Manyumbu united walivyokuwa mwaka
Jana.

Mimi kazi yangu moja tu!
Kucheka.

Ughonile Nkamu.
Ha ha ha ha ha ha ha!!

Ndio kutesa kwa zamu huko sasa Nkamu, sahivi zamu yao kutaabika. Rafiki ako wa chuga anamkataa Potter eti wanamtaka Mmasai Ole Gunnar Solskjær 🤣🤣🤣🤣

Ughonile Nkamu.
 
Ha ha ha ha ha ha ha!!

Ndio kutesa kwa zamu huko sasa Nkamu, sahivi zamu yao kutaabika. Rafiki ako wa chuga anamkataa Potter eti wanamtaka Mmasai Ole Gunnar Solskjær [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ughonile Nkamu.
Ndagha Nkamu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Screenshot_20230113-125108.jpg
 
Muendelee kumtetea Mount na Havertz.

Michezaj ambayo unakuta mwenzao yuko kwenye good position badala ya kupiga through pass yenyewe inapiga sideway pass o back pass.
Shame.
Kila mtu anataka aonekane yeye ndio shujaaa.
Screenshot_20230113-130527_Twitter.jpg
 
Naye ni mwingireza aliyewahi kuwa kocha wa AFC Bonamouth na Burnely na hakuwa hata kocha wa kuogopwa
Akiwa mchezaji aliichezea AFC Bournemounth kwa muda mrefu na mwingin e akiwa mchezaji wa mkopo tena timu za daraja la chini, hawajawahi kuichezea timu yake ya taifa zaidi ya U21
Tukimfikiria sasa hivi ni Kama Potter wa Brighton tu, historia zao za utaifa, uchezaji na ukocha zimefanana kabisa
Ninachoona Falsafa yake imewafit sana wachezaji wa New castle
Mimi kocha hapa ni Conte tu
Yule wa Newcastle bora abaki palepale tu St James Park, hata Barcelona ikimuhitaji asiende
 
Boss Todd Boehly mpaka sasa kashatumia £300m na ushee kwa wachezaji - ila mbele bado ni giza.
 
JANUARY 2023 - IN

Benoit Badiashile - Monaco, £35m - age 21
David Datro Fofana - Molde, undisclosed - age 20
Andrey Santos - Vasco da Gama, undisclosed - age 18
Joao Felix - Atletico Madrid, loan - age 23


Kuna jambo hapa linatengenezwa...... (angalia umri)
 
Redcard ya Felix itaigharimu Chelsea karibia £3m kumlipa wakati hatoi huduma kama ifuatavyo:
Mshahara- 250,000 x 4 =£1,000,000
Fee £9,000,000/5=. £1,800,000
Karibu tatu.
Ujinga mtupu, ni Chelsea tu inaweza kufanya ujinga wa aina hii
Hizo hesabu kampigie secretary wako akomae, kwenye mpira hizo ni hesabu za kimaskini mno
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom