Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nini tatizo la hii timu? Tacticos wa cheltako mnalaumu kila kinacholaumika, tatizo kuu la hii timu ni kocha, huyu tajiri hajui mpira afu kahamishia staffs wa Brighton hapa, we unadhani wanaweza muhukumu Potter kwa usawa wakati ni soldier since day one [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Kocha anachange system Mara kibao thats means anachange tactics pia, kuna makocha wakutrust the process km Mikel Arteta ila Potter haoneshi, Sack this loser, yule kocha kastaafu national team ya Spain mzuri kuliko huyu. That's my opinion
Tunaweza kuwa na team mbovu ila Potter hafai kuwa kocha tumedowngrade kumuappoint Potter.

Potter ni kama Moyes wa Everton.
 
Mimi nawaza tuendelee kufungwa tukifika kama nafasi ya 15 kuelekea 20 Boss anaweza kustuka na kumtia potter
 
Havetz-toa
Mount-toa
Azpi-toa
Chalobah-uza kabisa, yani wakati wenziye wanarudi Cobhan yeye anapaswa begi lake litatumwa akiwa kwenye yimu yake mpya
Chalobah hiv kuna timu yoyoye itakayomtaka, mchezaji mwenye uwezo mdogo vile.
 
Kurudi mpira nyuma kuna shida gani? hata Arsenal wanarudisha mpira nyuma na wanashinda mechi
Kucheza nyuma au sideway ikiwa ni sehemu ya mkakati sio mbaya, ila hii ya Chelsea ni back passes za mazoea, no strategy, no plan, utumbo mtupu.

Kuna clips walikuwa wakionyesha SupperSport ikionyesha jinsi Chelsea inavyoua big chances kule mbele kwa sidewasy passes, back passes na mcheza kuamua kukaa na mpira bila plan au kwa kufanya poor decisions
 
Jamani sherehe bila picha hainogi
IMG_20230113_003244.jpg
 
TUNAJENGA TIMU JAMANI
SAFARI NI NDEFU
ASIYETAKA ATAFUTE TIMU NYINGINE HARAKA
Nishaanza kumdoubt Potter.

Hakuna motivation yoyote anayowapa wachezaj.

Sidhan kama ni mtu sahihi kwenye hii project. You have to win upate imani.

Tunakikosi kipana hata kama kinashida ila tunaonekana wabov kupita kiasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom