Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Robert Sanchez to COMO kwa mkopo, Here we go!
1788215170788.png
 
Enzo Fernandez to Man City kwa ada ya Euro milioni 140 pamoja na adons. Dili linakaribia.
Wakati huo Chelsea imekaa kimya, mabeki pungufu na viungo pungufu pia

1788215298162.png
 
ndio maana ateltico kakataa kuwaongezea nguvu barcelona ila nyie sasa mnauza wachezaji wen bora kwa washindani wenu
kweli nyie ni takataka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom