Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Graham Potter hapana hapana hapana. Hatuna kocha ile Brighton ya motomoto ilitudanganya. Bora tumchukue Pochettino. Huyu jamaa hii timu imemshinda huoni akiboresha kitu zaidi kila siku tunazidi kuporomoka
Sioni akishindana na pep, klopp & Arteta kwa maana ya elite positional structure, ex; United walijua Poch will be available ila wakafanya chaguzi nzuri kwenda kwa Eth,hapo ni luis Enrique at least unaweza kugamble kwa De zerbi.
 
Tactico anazeeka ht mwaka haujaisha[emoji1787]
IMG_20230113_010814.jpg
 
Hivi Newcastle yule kocha wamemuokota wapi?
Naye ni mwingireza aliyewahi kuwa kocha wa AFC Bonamouth na Burnely na hakuwa hata kocha wa kuogopwa
Akiwa mchezaji aliichezea AFC Bournemounth kwa muda mrefu na mwingin e akiwa mchezaji wa mkopo tena timu za daraja la chini, hawajawahi kuichezea timu yake ya taifa zaidi ya U21
Tukimfikiria sasa hivi ni Kama Potter wa Brighton tu, historia zao za utaifa, uchezaji na ukocha zimefanana kabisa
Ninachoona Falsafa yake imewafit sana wachezaji wa New castle
Mimi kocha hapa ni Conte tu
 

Chelsea's XI of absentees​

  • Edouard Mendy (shoulder)
  • Reece James (knee)
  • Wesley Fofana (knee)
  • Ben Chilwell (hamstring)
  • N’Golo Kante (thigh)
  • Ruben Loftus-Cheek (ankle)
  • Denis Zakaria (unknown)
  • Raheem Sterling (hamstring)
  • Christian Pulisic (ankle)
  • Armando Broja (knee)
  • Joao Felix (suspension)
"It's really frustrating, incredibly challenging," said Potter of the situation. "I feel for the supporters.


"We're disappointed to lose tonight. I felt it was a relatively even game in the first half, we had a couple of chances. But I think the basics we can do a little bit better, in terms of our defending and football actions.
 
Sidhani kama huyo Potter ndio alikuwa anauwasha moto pale Brighton nahisi alikuwa anadesa kwa mtu.
ile 3-4-3 imeshindwa kufanya kazi, hamna creativity wakifika kwenye box, haiwezekan i unafika kwenye box mara 25 ndani ya chezo afu unashindwa kufunga.

Felix naye mipango hamna, kishuti ka cha mtoto utamfunga nani - stanina hamna na ndiyo maana Simeoni alikukwa anamuweka bechi kule juve
 
ile 3-4-3 imeshindwa kufanya kazi, hamna creativity wakifika kwenye box, haiwezekan i unafika kwenye box mara 25 ndani ya chezo afu unashindwa kufunga.

Felix naye mipango hamna, kishuti ka cha mtoto utamfunga nani - stanina hamna na ndiyo maana Simeoni alikukwa anamuweka bechi kule juve
kwa 343 unategemea Azpi ndie awe winks back
Lewis Hall awe Wink back? hizo nafasi wanaoziwezea ni James na Chilwell tu, hata Cucurella hawezi kucheza kwenye winks. Nafasi kwa sasa ambayo tunaweza kucheza kwa wachezaji waliopo ni 4231
 
Siku izi kule manjestaa yani manyumbu kimtindo yanashinda shinda kama ni tanuru basi tunapitishwa haswa itabidi tuanze kuzoeya haya maisha
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Cheusii nyinyi ni zaidi ya watamu,
Sasa hivi kila timu inatamani kuwakula kimasihara.
Screenshot_20230105_120911.jpg
 
Sioni akishindana na pep, klopp & Arteta kwa maana ya elite positional structure, ex; United walijua Poch will be available ila wakafanya chaguzi nzuri kwenda kwa Eth,hapo ni luis Enrique at least unaweza kugamble kwa De zerbi.
Luis Enrique ni kocha mzuri sana nahisi tukiwa naye hata kina Felix na Havertz wanaweza nyanyua viwango vyao. Ila tatizo letu atahitaji sajili nyingine zaidi tena vipaji haswa sio hawa kina Chalobah kupiga pass tu tatizo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom