Tusubiri msimu ujao tuu mzee, msimu huu hatupati hata top fourHii timu itasinduka mwezi wa pili na kuamka kabisa mwezi wa tatu
Kama James, Kante hwataumia tena tunaweza maliza no. 6
Siwahesabii sana Chilwell kwa sababu anachukua muda kuwa fit
Fofana hata kuizoea Chelsea bado
Potter akitimuliwa mapema tunaweza kuwin UEFA, kama tulivyofanya baada ya kumtimua FL
Tukichelewa tutakuta mwana sio wetu
Squad inaweza kuwa inashida, ila kwa kile tulichonacho hatutakiwi kustruggle kiasi hichi.Tulishasema humu huyu Potter hamna kitu sasa ngoja tushuke daraja huku mkiendelea trust the process
Naomba asitimuliwe hadi mcheze na liverPotter akitimuliwa mapema tunaweza kuwin UEFA, kama tulivyofanya baada ya kumtimua FL
Tukichelewa tutakuta mwana sio wetu
Poor poorMakocha wa kingereza 🚮
55" MkuuHii tv inch ngapi?
Sawa55" Mkuu
Liver msimu huu ni janga ila nyie mmezidi aiseeHii chelsea yetu tukivuka kucheza europa msimu ujao itakuwa ni miujiza
Sisi ni zaidi yani mara mbili ya janga. Mupira unapigwa wa hovyo..wachezaji kama akina Auba, sterling, sijui Fofana timu ilizingua aise mpaka tukae kama timu ni baada ya misimu miwili iviLiver msimu huu ni janga ila nyie mmezidi aisee
Kepa ni garasaJamani sherehe bila picha hainogi View attachment 2478718