Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sio Chalobah tu, kuna Havertz pia
Havertz kacheza vizuri, kama unafuatilia vizuri

Mchezaji pekee anayestahili kuuzwa kabisa ni Chalabah. Hastahili kuvaa jezy ya Chelsea
Hall bado ana utoto
Kovacic bado hayuko kwenye form
General team performance is poor pooor, hawawezi kukaa na mpira, hawako clinical kwenye kupasi, wanajipigia tu kama wachezaji wasio na kocha
 
Felix ndie mchezaj wetu bora mpk sasa.

Huyu Mount hiv inamaana yeye hawez anzia bench???

Hall aboreshe umaliziaji wake, na anajisahau sana.

Chalobah mapepe mengi sana utasema ametoka academy jana tu.
Azp huyu hakufaa hata kuongezewa mkataba, hatupi chochote kwa sasa,
 
Havetz-toa
Mount-toa
Azpi-toa
Chalobah-uza kabisa, yani wakati wenziye wanarudi Cobhan yeye anapaswa begi lake litatumwa akiwa kwenye yimu yake mpya
 
Kurudi mpira nyuma kuna shida gani? hata Arsenal wanarudisha mpira nyuma na wanashinda mechi
Kuna mashambuliz anayaua, kuna mda kabisa unaona kabisa fulham bado awajarudi ila yeye sinc hana pace na hatak kutake risk anarudisha nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom