Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Graham Potter hapana hapana hapana. Hatuna kocha ile Brighton ya motomoto ilitudanganya. Bora tumchukue Pochettino. Huyu jamaa hii timu imemshinda huoni akiboresha kitu zaidi kila siku tunazidi kuporomoka
Poche au Tino hafai, naye aliipaga Spurs moto kama GP wa brighton, kocha ambaye lazima tumuibe ni Conte kwa sababu pale spusr hana raha
 
Kumbe Felix alipewa red 😂😂 Huyu ameamua kujionyesha kuwa yeye ni kichomi mapema
Yaani Felix ni mzuri sana kule mbele kwa kutengeneza nafasi na kushoot on target. Nadhani shots nyingi za Chelsea zimetoka kwake. Ile red ilikuwa bahati mbaya tu atakosa mechi 3 za palace, liver na fulam again mwezi wa pili. Tutaonana hadi mechi na westham tarehe 11 Feb
 
You have hit the nail dude!

Mimi nishaanza waogopa hawa!, nafikiri approach yetu kwa hawa jamaa iwe more 'diplomatic',esp. wakichapwa..! tumeshazoea kuwasiliba vibaya Ze Gunnaz ila hawa ukigusa tu, lazima uingie choo cha kike-the next day unaweza kuta hataku-log inn humu ndani ikawa utata!

All n All thanx for taking the initative, kumbe mlikuwa wengi washabiki bwana mmejificjha?, mkawa mnadandia dandia tuu threads za timu sio zenu?

Nawasubiri Liverpool nao wa-take initiative kam yenu, nafikiri itapendeza zaidi kuwa na BIG FOUR ndani ya Jukwaa letu la 'kupunguza Stress'..!
chelsea itamaliza nafasi ya 16
 
Yaani Felix ni mzuri sana kule mbele kwa kutengeneza nafasi na kushoot on target. Nadhani shots nyingi za Chelsea zimetoka kwake. Ile red ilikuwa bahati mbaya tu atakosa mechi 3 za palace, liver na fulam again mwezi wa pili. Tutaonana hadi mechi na westham tarehe 11 Feb
Kwa dakika alizocheza Felix unaona kabisa alikuwa mchezaj wetu hatari, na hapo ndio yupo na team kwa mda wa masaa 24 tu. ,kwenye kucreat nafasi, kwenye kukokota mipira,Shot on target n off target,


Hata Chukwumweka alicheza vizuri kwa dakika chache alizocheza kuliko Mount

Kama Potter ataendelea kumfanya Mount ndio ingine ya tim, hatakiwi kuanzia bench o kukaa bench ni mpaka aumie hatutoendelea kokote.

Kwa jins Felix alivyocheza,Mount ilibidi awe vile.

Mda wa mafuta na maj kujitenga.
Potter sio mtu sahihi kwa hii project, Maana mpk sasa hakuna chochote alichooneshq kama ni mtu sahihi, hatuchezi vizuri tuko disorganize, hakuna hata eneo moja ambalo tunaoneka tuko bora.

Tunaweza kuwa na team ambayo sinzuri ila huwezi sema katika 10 games all competition umewin 1 na stil makosa ni yale yale yanajirudia, hakuna risk yoyot inayochukuliwa tukicheza,
 
Leo tunaua, jiandaeni kupata burudani leo. Always when it is blue it is refreshing

Hata anga ikiwa blue kuna raha tupu
Hata bahari ikiwa blue kuna breeze ya kuleta raha
Ila rangi ikibadilika na kuwa red, fujo tupu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Coaches are hired to be fired, Graham Potter is on the list!

Kwa muda mrefu Makocha wa Kiingereza wanashindwa kufanya vizuri EPL kulinganisha na Makocha wa Kihispania au Mataifa mengine.

Kinachowaponza ni kusifia Sana kama ilivyo wachezaji wao wa Kiingereza ambao wengi Wana uwezo wa Wastani.
 
Kwa muda mrefu Makocha wa Kiingereza wanashindwa kufanya vizuri EPL kulinganisha na Makocha wa Kihispania au Mataifa mengine.
ni kweli kwa mfano Lampard, Gerald wote hawana mafanikio.

Huyu mwekezaji kaingia chaka, kuikoa timu atafute kocha wa muda fastaa walau aivuche chelsea kwenye EUROPA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom