Tulishasema humu huyu Potter hamna kitu sasa ngoja tushuke daraja huku mkiendelea trust the processHivi tangu tumuappoint Potter eneo lipi ameimprove???
Yani tunaonekana kama genge la wahuni ambao linakusanyika siku ya game
Hapo hapo London 🤣🤣🤣Tunazika au tunasafirisha?
GP team imemzidi uwezo, ni kubwa sana kwake. Lilikuwa kosa kubwa kumpoteza Tuchel.Boehly alisema wamiliki na TT walikuwa hashirikiani vision moja
Huyu Potter ndie anayeshiriki vision na Wamiliki
Hayqa ndio wamiliki waliyaona? Chelsea ikididimia?
Wachezaji woote wameshuka viwango
Nasisitiza: Potter team imemzidi uwezo.Tulishasema humu huyu Potter hamna kitu sasa ngoja tushuke daraja huku mkiendelea trust the process
Anachoweza ni kutushusha kwenye msimamo kwa kasi! Tunamtafuta Southampton sasa!Hivi tangu tumuappoint Potter eneo lipi ameimprove???
Yani tunaonekana kama genge la wahuni ambao linakusanyika siku ya game
Anachofanya Potter siyo kujenga ni kubomoa kila alichokikuta! Team ilikuwa na mapungufu machache mno ambayo kama tungepata kocha sahihi mwanga ungeshaanza kuonekana lakini kwa mwendo huu nna wasiwasi hataPotter mwenyewe hajui anachopambania, team haina muunganiko, wachezaji wamepoteza ari ya upambanaji! Kifupi hii siyo Chelsea.TUNAJENGA TIMU JAMANI
SAFARI NI NDEFU
ASIYETAKA ATAFUTE TIMU NYINGINE HARAKA
Mkuu em lala kidgo upumzishe akili na mwili.Potter akitimuliwa mapema tunaweza kuwin UEFA, kama tulivyofanya baada ya kumtimua FL
Tukichelewa tutakuta mwana sio wetu