Getang'wan
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 3,076
- 3,418
Huku kutukanana siyo ustaarabu kabisa. Tunatukanana huku wanaofanya tutukanane wala hawatujui.Mbona povu jingi, vipi!?
Huku kutukanana siyo ustaarabu kabisa. Tunatukanana huku wanaofanya tutukanane wala hawatujui.Mbona povu jingi, vipi!?
Nadhani kijana tatizo ni malezi, asamehewe!Huku kutukanana siyo ustaarabu kabisa. Tunatukanana huku wanaofanya tutukanane wala hawatujui.
[emoji120][emoji120]Nadhani kijana tatizo ni malezi, asamehewe!
Sio takataka aisee bali ni overpriced ni mchezaji wa £45mil tu ila kama tuko makini pau torres £50mil tunamchukua na already proven player
Yule ni jogoo wa mchongo tu , alikuwa anakufa tu bahati yakeLivakuku kachania watu mikeka
Hapo juu nimeeleza alichonacho zaidi
Soma maoni yangu huko nyuma nilishaelezea kama mara mbili, unaweza pia tembelea Youtube andika Fofana welcome to Chelsea angalia video na soma maoni ya watu kwa uangalifu utaona anavyosemwa negatively na positively. Mimi niliposoma wengi wanalaani pesa nyingi Chelsea anazotoa
Kumbe kuna mashabiki wa spars siku hizi?Hujui alie top of the table ni nani
Kikosi kina Jorginho hapa ni kufungwa au droo.
Ili tusifungwe baada ya HT apigwe sub. Everton wakipress sana Jorginho ndani ya nusu saa atakuwa yuko hoiKikosi kina Jorginho hapa ni kufungwa au droo.