Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Shida sio kupewa nafasi ni kutoonesha dalili zote nzuri kuanzia msimu ulioisha mpaka msimu team inacheza soka la slow, backpass nyingi hakuna game yoyote tuliofunga kuanzia goal 3 kwa kipindi chote hicho, wachezaji wanapangwa out of position, uoni aina gani ya mpira tunaocheza kwa namna hii kwanini mmiliki asikufukuze akuishia hapo kuna wachezaji kawasajili hawachezeshwi kabisa mfano chikumeka bonge la mchezaji lakini hakuna hata game aliyopewa nafasi OllaChuga Oc anasema kocha hana mamlaka sio kweli kocha kapewa nguvu kubwa Sana wachezaji wote aliyowataka kapatiwa mfano mzuri ni Huu mmiliki alikuwa anamtaka Ronaldo lakini TT alimkataa na mamiliki akaamua afate maamuzi ya TT
Haonyeshi dalili nzuri?
Amewafikisha Carabao na FA final.. Wote tulishuhudia mtanange ulivyochezwa hadi dakika 120..Tumeangalia ile mechi nikiwa nimeshika moyo.
Ni vile tu bahati haikuwa upande wenu kwenye penalties.

EPL kawafikisha top 5,
Uefa nusu fainali ..Madrid akawazidi kidogo tu ..Hata sisi ile nusu fainali tungekuwa kundi mlilopangwa basi tusingetoboa.

Leo mnasema hajaonyesha dalili nzuri?
 
Anne, mimi nitakukumbuka wewe, unatamani kuwa Chelsea ila una nia mbili
UshindweeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naipenda timu yangu ..Timu nzuri, timu inavutia,timu ina jina zuuuri.
 
Haonyeshi dalili nzuri?
Amewafikisha Carabao na FA final.. Wote tuliahuhudia mtanange ulivyochezwa hadi dakika 120..Tumeangalia ile mechi nikiwa nimeshika moyo.
Ni vile tu bahati haikuwa upande wenu kwenye penalties.

EPL kawafikisha top 5,
Uefa nusu fainali ..Madrid akawazidi kidogo tu ..Hata sisi ile nusu fainali tungekuwa kundi mlilopangwa basi tusingetoboa.

Leo mnasema hajaonyesha dalili nzuri?
Tofautisha nyakati, TT halaumiwa kwa nyakati zote, pale tu dressing room ilipo collapse
 
Thomas is a difficult person, but a fantastic coach,” said Borussia Dortmund’s chief executive, Hans-Joachim Watzke, in November 2020. β€œWe broke up because it just didn’t fit.” More than five years have passed since Thomas Tuchel’s reign at Dortmund came to an unceremonious end and now the manager who supported Tottenham Hotspur when he was a child because he liked the name finds himself out of work again.
 
Moja kati ya qoute zake.
View attachment 2348717
Hata kama mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.

Kwa matokeo haya hadi akachukua makombe ya UEFA champions league, UEFA super cup & klabu Bingwa ya dunia, hakuthibitisha hiyo kauli yake?
JamiiForums1137428892.jpg
 
Chelsea mashabiki yake ni majinga majinga tu.

Yakifungwa unayakuta humu yanajifanya kusema tulijua tu sijui nini na nini ni mashenzi tu haya yakiongozwa na ollashoga na lembua.

Na sasa hivi yamemfukuza Tuchel huku yalijifanya kumpa jina sijui Tucheliban mara timu itayoogopwa leo hii chali
Toroka Arse8, Arsepunga, Arsedomo uende hata Mwantesa Utd huenda ukatuliza ubongo kwa msongo wa mawazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom