Maboss wanazingua , Tuchel alitakiwa apewe full authority awe dictator kama Pep pale city halafu ndio tumgudge sasa , kuna wachezaji mule walikuwa sumu Sana mule Alonso na genge lake walikuwa na Tabia ya kuanzisha migomo ya Chini Chini .Pep vijana wake wanaenda HT wakiwa mbele kwa bao tatu...aila huko Dressing room aliwagombeza sana kuwa hajaona mpira waliocheza.
Wangekuwa hawa vijana wa Chelshit si wangetamani kujinyonga kabisa.
Hizo sumu zimesambaa mpaka Kwa akina Ziyech na matakataka mengine , ego za kipumbav kazi zero . Mbona kuna wachezaji wanajituma mafano James , SILVA kila mechi wanacheza vizuri hawa vibwengo wengine wanaona timu kama ya Baba Yao ,Huu upuuz ndio uliowacost manU na bado utaendelea kuwacost ,timu haitakiwi kumvumilia kenge yeyote Yule ,piga kazi coz unalipwa mbw@ we .
