Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,906
Watu wanasahau kuwa sisi ni title contenders misimu yote hatupo pale EPL kuonyesha sura.
Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.
Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.
Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.
Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).
Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.
Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.
TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.
Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana
Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.
Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.
Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.
Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.
Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.
#KTBFFH.
Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.
Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.
Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.
Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).
Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.
Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.
TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.
Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana
Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.
Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.
Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.
Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.
Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.
#KTBFFH.

