Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Watu wanasahau kuwa sisi ni title contenders misimu yote hatupo pale EPL kuonyesha sura.

Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.

Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.

Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.

Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).

Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.

Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.

TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.

Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana

Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.

Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.

Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.

Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.

Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.

#KTBFFH.
 
Watu wanasahau kuwa sisi ni title contenders misimu yote hatupo pale EPL kuonyesha sura.

Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.

Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.

Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.

Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).

Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.

Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.

TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.

Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana

Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.

Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.

Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.

Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.

Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.

#KTBFFH.
Huo ndio ukweli ukifanya vibaya lazima uwajibike sisi sio midtable timu kama wapumbavu wengine
 
Chelsea mashabiki yake ni majinga majinga tu.

Yakifungwa unayakuta humu yanajifanya kusema tulijua tu sijui nini na nini ni mashenzi tu haya yakiongozwa na ollashoga na lembua.

Na sasa hivi yamemfukuza Tuchel huku yalijifanya kumpa jina sijui Tucheliban mara timu itayoogopwa leo hii chali
Asernal ndio mna akili.zipi hizo

Mlikaa miaka 13 bila Kombe hadi Leo hamna Hilo kombe.

Manshinda vikombe vya kahawa.

Alipiga hirizi yule mzee hadi alipoamua kusepa mwenyewe.

Sisi tumefanikiwa kwa hii staili yetu msiige kunya kwa tembo mtapasuka msambaa

Mmekaa hapo juu vimechi vichache mnapandishs mabega.

Ngoja mziki uanze kukuolea mtaeelewa kuwa nyie ni fungu la kukosa tu.

Au mlitaka mtuone tukishuka daraja ndio mfurahie

Shwaini

Sisi ndio Chelsea mtaka msitake sisi dhima yetu ni kunyanyua makombe sio kucheza Europa.

Kwendraa
 
Ngoja niwape risiti zenu.View attachment 2348785View attachment 2348783View attachment 2348784
Screenshot_20220907-135232.jpg
 
While the loss in Zagreb may have underlined Chelsea’s recent slump under Tuchel, Telegraph Sport understands that Tuchel’s sacking is not based purely on results or Chelsea’s poor start to the season.
 
Chelsea’s new owners didn’t feel Tuchel was developing senior or younger players and players on the fringe felt disconnected, take Pulisic, Werner and Lukaku as examples.

The new owners are looking at a 5-10 year trajectory. (@David_Ornstein)
 
Daah Yote kwa Yote tumtakie mafanikio Mema kokote aendako. Tunamshukuru sana TT kwani ametuheshimisha mnoo.

Na kweli kwa kipindi Flani ile kauli yake ya Kutengeneza Timu ambayo hakuna ambaye angependa kukutana na Chelsea ilitembea kweny Vichwa vya kila tunayekutana naye kwa Taadhari kubwa sana!

Atabaki kweny Historia na Kumbukumbu Njema kwa Kuwa chini wa Wamiliki wawili Wa Timu na Kuipatia Timu makombe Makubwa Ulaya Na Duniani ambayo siyo jambo Rahisi kuweza kuyapata yote hata uwe kwenye Ubora. Kiufupi TT ametufungulia Milango na Udhubutu kwa kutokuwa na Uonaga kwa Michuano Mikubwa kama Ile kwa kutuandikia Historia ambayo tunajidai nayo na Kutembea vifua mbele!

Pia naye nadhani Chelsea ndo Timu pekee katika historia yake ya Mpira iliyompa Heshima Na Tuzo Kubwa kuliko zote alizowahi Kupata akiwa mchezaji na Hata Kuwa Kocha.

Tutakusamehee kwa kutuuzia watoto wetu wa Academy ambao hapo Mbeleni wangekuwa msaada mkubwa kwa Timu yetu!

NAKUSHUKURU KWA YOTE THOMAS TUCHEL(TT)
Cry more
 
Watu wanasahau kuwa sisi ni title contenders misimu yote hatupo pale EPL kuonyesha sura.

Ndio tunaspend bing kuleta wachezaji wazuri na tunalipa mshahara mzuri.

Manager yoyote wa Chelsea should know kwamba lazima a deliver hayupo pale ku enjoy club glory.

Ndio maana huwa tukiona mtu anatuzingua anasepa fasta.

Sisi sio asernal,sisi sio Liverpool (Hawa wakipata upepo tu ila Sasa wanarudi kwenye utamaduni wao waliozoea).

Ndio hata manure wametuiga akunaga mambo ya ufergeson zama hizi.

Ukishindwa ku deliver unaondoka instantly.

TT recently amekuwa the worst ever Chelsea inacheza bila malengo.

Timu inapiga pasi nyingii back ubweche tunafungwa kifala sana

Wakati club Ina wachezaji wazuri wa kaliba mbalimbali.

Anyway nashukuru kwa kutusaidia kupata UCL hadi wakati mwingine akituimpress.

Go approach kwa Boehly safi sana usicheke na kima.

Kwa miaka 19 aliokaa Abramovich mafanikio aliyopata ni kutoleta mazoea kwenye kazi na pesa.

Ukitumia pesa lazima upate matokeo otherwise ni hasara.

#KTBFFH.
Mwamba umeupiga mwingi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom