Chelsea imemfuta kazi Kocha Thomas Tuchel baada ya timu hiyo kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha tangu kuanza kwa msimu huu
Chelsea ni ya 6 katika msimamo wa Ligi Kuu England ikiwa imecheza michezo 6 na kupoteza miwili huku ikianza vibaya Klabu Bingwa Ulaya kwa kufungwa na Dinamo Zagreb
Tuchel aliwasili Stamford Bridge mwaka wa 2021 kuchukua nafasi ya Frank Lampard na kuanza vema kwa kushinda Klabu Bingwa Ulaya ndani ya miezi 6
====
Taarifa ya Klabu
OFFICIAL: Chelsea part company with Tuchel
Chelsea:
On behalf of everyone at Chelsea FC, the Club would like to place on record its gratitude to Thomas and his staff for all their efforts during their time with the Club.
Thomas will rightly have a place in Chelsea’s history after winning the Champions League, the Super Cup and Club World Cup in his time here.
As the new ownership group reaches 100 days since taking over the Club, and as it continues its hard work to take the club forward, the new owners believe it is the right time to make this transition.
Chelsea’s coaching staff will take charge of the team for training and the preparation of our upcoming matches as the Club moves swiftly to appoint a new head coach.
There will be no further comment until a new head coach appointment is made