Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuchel kafukuzwa, tunarudi kwenye cycle ile ile, tutaplay good mpk mwisho mwa msim then tutarudi kwenye default.

Inavyoonekana alikuwa kapoteza dressing room, ila ni weird decision tuliyoifanya kumfukuza nadhan mwez huu tungempa tuone hali ingekuwaje.

Seem boehly-clearlake hawakutaka kusubir mpk hali itakapokuwa mbaya
Kwa hii comment yako Lampard ali deserve more time kwa sababu aliikuta timu ina ban na bado akafanya vizuri kabla ya kuanza kufanya vibaya.
 
Chelsea imemfuta kazi Kocha Thomas Tuchel baada ya timu hiyo kuwa na mfululizo wa matokeo yasiyoridhisha tangu kuanza kwa msimu huu

Chelsea ni ya 6 katika msimamo wa Ligi Kuu England ikiwa imecheza michezo 6 na kupoteza miwili huku ikianza vibaya Klabu Bingwa Ulaya kwa kufungwa na Dinamo Zagreb

Tuchel aliwasili Stamford Bridge mwaka wa 2021 kuchukua nafasi ya Frank Lampard na kuanza vema kwa kushinda Klabu Bingwa Ulaya ndani ya miezi 6

====
Taarifa ya Klabu

OFFICIAL: Chelsea part company with Tuchel

CgAGVmMYX-mAHGWqAAII6knxd8g749.jpg.webp

Chelsea:
On behalf of everyone at Chelsea FC, the Club would like to place on record its gratitude to Thomas and his staff for all their efforts during their time with the Club.

Thomas will rightly have a place in Chelsea’s history after winning the Champions League, the Super Cup and Club World Cup in his time here.

As the new ownership group reaches 100 days since taking over the Club, and as it continues its hard work to take the club forward, the new owners believe it is the right time to make this transition.

Chelsea’s coaching staff will take charge of the team for training and the preparation of our upcoming matches as the Club moves swiftly to appoint a new head coach.

There will be no further comment until a new head coach appointment is made
Chelsea imekosea sana kumfukuza kazi TT, yaani game 6 tu anafukuzwa kocha?

Nyie chelsea fans mnakumbuka TT timu aliyoirithi kutoka kwa Lampald
 
Tuna kikosi kizuri sana. Wachezaji wenye potential si chini ya wawili wapo kwenye kila position. Tuchel sio kocha mbaya, lakini naona ameshindwa kutwist mfumo wake kuwafit vyema wachezaji waliopo kwenye kikosi. Hii itatucost mno na itamcost yy pia kibarua chake before december
Sidhan kama tunakikosi kidhur cha kwenda toe to toe na city .

Kuwin Champions league ilikuwa kosa ilituaminisja tunakikos bora ila kuna player hawadeserve kuvaa zile jezi.

Our player hawatak kuwa pushed,

The only player ambae huwa wanajitoa ni Kante,James n Silva kwa msim huu, the rest nikama sukuma gari bar new signing
 
Kwa hii comment yako Lampard ali deserve more time kwa sababu aliikuta timu ina ban na bado akafanya vizuri kabla ya kuanza kufanya vibaya.
Ili ufanikiwe ondoa wachezaj ambao huwatak haraka kabla hawasambaza sumu kwa wengine.

Pep aligombana na Yaya toure kilichofata yaya toure akaondolewa haraka..

Shida ya chelsea huwa sio kocha bali ni wachezaji wanaamua, utaona kuanzia jmosi watakavyocheza
 
Kwa hii comment yako Lampard ali deserve more time kwa sababu aliikuta timu ina ban na bado akafanya vizuri kabla ya kuanza kufanya vibaya.
Lampard alikua mbovu hakushahili hata kuwa mfua jezi,tungeendelea nae tungeshuka daraja, kama huamini angalia Everton atakapowapeleka.
TT kuna kitu kidogo sana pale katikati alikua anakikosea, na pia kukumbatia baadhi y wachezaji.
 
Mmekosa uvumilivu kidogo tu, bado nilikuwa naamini tuchel atakaa sawa tu baada ya haka kaupepo kabaya.
 
Prediction yangu kwa chelsea 2022/23

Tuche amalizi msimu mzunguko wa kwanza tu anapoteza kazi ndo hatakuwa kocha wa kwanza kupoteza kazi pale England.

Nafasi =5/6

Uefa = 16 bora

FA = semi final

Carabao cup = final lost 2_1

Top score = kai havertz 5 goals

Top asisst = stering 3

Mendy Clean sheet = 6

Kila msimu lazima timu kubwa moja ichemshe vibaya sana.

Kwa upepo naouona lile jini la manure lililo tutesa msimu ulio pita naona kila dalili linakuja kwenu mjiandae tu kisaikolojia.

View attachment 2312981
naona mambo yametiki bado hayo mengine niliwaambia tuchel amalizi msimu mkanishambulia sijui nyumbu wewe kikowapi.
 
Graham Potter understood to be the early front-runner for the Chelsea job. The Chelsea bosses still understood to crave longevity in the manager's role but were convinced Tuchel could not make it work and felt they had to act fast.

- @NickPurewal
 
Lampard alikua mbovu hakushahili hata kuwa mfua jezi,tungeendelea nae tungeshuka daraja, kama huamini angalia Everton atakapowapeleka.
TT kuna kitu kidogo sana pale katikati alikua anakikosea, na pia kukumbatia baadhi y wachezaji.
Kuna habar naona twitter zinasema tuchel alikuwa ashapoteza dressing room, due to kuzozana na wachezaj, na style ya uchezaji
 
Kumfukuza Tuchel sio poa sasa sisi arsenal tutashindaje mnamtoa huyu tactician
 
Tuchel kafukuzwa, tunarudi kwenye cycle ile ile, tutaplay good mpk mwisho mwa msim then tutarudi kwenye default.

Inavyoonekana alikuwa kapoteza dressing room, ila ni weird decision tuliyoifanya kumfukuza nadhan mwez huu tungempa tuone hali ingekuwaje.

Seem boehly-clearlake hawakutaka kusubir mpk hali itakapokuwa mbaya
Ulijitahidi sana kumtetea TT lakini nilikwambia hakuna tajiri atayekubali kumwaga pesa halafu timu ifanye vibaya
TT alishachemka kitambo tu hatimaye siku yake imewadia
 
Ulijitahidi sana kumtetea TT lakini nilikwambia hakuna tajiri atayekubali kumwaga pesa halafu timu ifanye vibaya
TT alishachemka kitambo tu hatimaye siku yake imewadia
Yeah tuchel nikocha nae mkubal + ukiangalia kwa sasa hakuna kocha mzuri aliyefree, wengi wanahitaj project ya mda mrefu na si wakukupa matokeo ya haraka haraka o gurantee ya kushinda knockout games
 
Kosa jingine boehly-clearlake wanafanya, huwez kufukuza kocha whilehuna DOF,
Kulikuwa na lengo gani la kuspend 250M kwenye transfer uje umfukuze kocha siku 6 zijazo baada ya dirisha kufungwa.Vipi kuhus usajili wa Auba ambae amekuja coz ya hitaji lq kocha??

Kuna vitu huenda tutakuwa atuvijui nyuma ya pazia,

If ni dressing room kupoteza, hii shida itaendelea kutafuna makocha wengi mpk hapo uongozi utakapoacha kuwaskiliza wachezaj,
Hii itaendelea kutokea hata aje nani

Tumefukuza kocha bila kuwa na plan ya nani atakaemrith

Kocha gani mzuri ambae yuko free kwa sasa?
Enrique n Flick hawawezi acha majukum yao ya tim za taifa kwa sasa isitoshe world cup ipo karibu,

Pochetino hapana,
Zidane????
Graham Potter ni kocha mzuri ila nikocha anaehitaji mda na project inayoeleweka.

No Coach
No DOF

Circus continue.............
Hawa matajiri sio wapumbavu kama unavyodhani hili swala walikuwa wanaliangalia kwa mapana zaidi ya unavyodhani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom