kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 6,118
- 15,682
Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Bora kutokucheza huko tutaenda kutia aibu, haya nyie mnaoenda kushiriki si mnaenda kuwakilisha tu.Mnavyoelekea hata conference league next season hamtacheza.......
Waangalie spurs, wanashuka daraja kizembe sana !
Coutinho alipoondoka Liverpool → timu ikawa moto 🔥⚽Enzo na kauli zake recently inaonekana anawatema, mchezaji ana potential, anaona project mbovu haieeleweki bora asepe zake
"We will see after world Cup" , hii kauli ni nzito sana !