Jorginho nick name yake sasa ni "lossing possion on his final third"
Lile goli alilokosa Konnect likagonga mwamba ni baada ya Jorginho kizembe kabisa kupoteza possesion kwenye eneo la hatari. Hii imekuwa ni kawaida yake na kocha anaona sawa, kapewa mahela mengi asajili halafu anaacha na kuendelea kumtegemea Jorginho ambaye enzi yake imeisha kabisa
Goal la Sancho dhidi ya Chelsea ilikua ni Jorge's fault, goal la emilwa totenham juz ilikua ni Jorge's fault, missed goal by conert juz ilikua ni Jorge's fault, own goal dhidi ya Man City.
Mi machache nnayokumbuka kuhusu utumbo wa Jorginho, mwanetu akiwepo Kwa ground Chelsea tunatulia sana na mpira ila lazima atachoma.
Nadhan muda system nzima ya kucheza itakapobadilika ndipo Chelsea tutamuacha Jorginho lakn Kwa Sasa ni ngum sana.
Sorry sio mwandishi mzuri though 😂😂
na jana Jorginho ndie aliekufingisheni ama?

