Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Alicheza ovyo lakini hakuwa pekee yake waliyecheza ovyo walikuwa karibia team nzima lakini chakushangaza jumba anaangushiwa yeye pekee.Waliocheza vizuri pekee ni Kepa, Auba na kidogo koulibaly
Ziyech alikasirisha zaidi mashabiki kwa kung'ang'ania kupiga free kick ya pili sehemu ile ile aliyopiga vibaya ile ya kwanza badala ya kumpa Mount
 
PEP anachofanya kwa sasa, mchezaji akishagundua hayuko happy anamruhusu kutoka mapema au kufagia
Arteta alichafanya kwa AUBA ilikuwa ni hii hii, AUBA aliacha kuwa happy na akaonekana ni sumu kwqenye dressing room
Alipoondolewa Auba timu ikarudi kuwa na matokeo

TT alichokosea na bado anakosea ni kuwasema vibaya wachezaji wasioendana na utaratibu na maelekezo yake ya uchezaji kama akina Ziyech, Werner, Lukaku na wengineo badala ya kuwaondoa mapema bila ya kuwasema
Wachezaji wanakuwa kama familia moja pale dressing room. ukimnyanyasa mmoja wote wanachukia na wakichukia matokeo yake ni kwenye mechi utaona cha mtema kuni
Sasa hata kama wamekosea,ashindwe kuwasema ili kuwarekebisha?
Mbona hata Pep huwa anawaambia wachezaji wake wakiharibu.. anasema wazi kuwa timu imecheza hovyo,na hapo unakuta alishinda!.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 
Mashabiki wa Arsenal mnaumia sana Auba kuja Chelsea kwa sababu mnaamini story ya Auba haitakua tofauti na ya Giroud, atabeba makombe ambayo huko kwenu mnayaota kila uchwao.
Ashley Cole

William Gallas

Cesc Fabregas

Oliver Giroud

Walipotoka kule kwa gooners ,asenyeto aser8

Wakaja darajani wote walibeba makombe.

Ukiwafatilia hadi Leo kwenye mitandao yao wanaizungumzia zaidi Chelsea kama nyumbani kwao kuliko kule kwa pretenders wa ligi.
 
Chance ipi ya wazi aliyotengenezewa mpaka umjudge hivyo ukuona kuna chance alitengeneza kwa sterling akakosa uoni link up alizokuwa anafanya au ndugu unaangalia mpira upi? Hivi unadhani kama halaand apewi huduma anafungaje magoal?
Hiyo chance sikuona nilikuwa sijakaa kwenye TV lakini nilikuta watangazaji wakimlaumu Auba kwa kufanya judgement mbaya, nafasi hiyo alitakiwa apige mwenye akajifanya mkarimu mno
 
Mbona makocha wengi huwa wanaongea.
Hata wetu mara anasingizia muda, mara barafu na mambo mengine mengi tu.

Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Lakini sio kuwasema wengine, aongee football na sio kuanza kuwasema wachezaji mara hawako happy, mara hajui kutoka na mpenzi wake, mara hili mara lile, umbea haiwafai wanaume
 
TT baada ya mechi

"We are clearly not there, where we need to be and where we can be," he said. "So it's on me, it's on us, we need to find solutions."

Tuchel added on BT Sport: "At the moment, everything is missing, [there is] too much to analyse. I'm a part of it.

"I am angry at myself, I am angry at our performance. I didn't see it coming.

"We need to be much better. We are not finished, we are not happy but I thought we were on a good way. I am surprised by this performance."
 
Hadi msimu uishe, TT ataongoza kwa tabia mbaya zaidi EPL
1662534031973.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom