Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

2019/20 - Kante and Kepa mistakes.
2020/21 - Jorginho mistake
2021/22 - Christensen, Sarr and Azpicueta mistakes.

Why are we always so unserious against Arsenal at the Bridge?
 
Stress mbaya sana, inaonekana hili Jamaa lilikuwa limekaribia kujinyonga leo hii ikiwa Arse8 asingeshinda
Nyie cheltako a.k.a chelwowo ni makenge kweli wapuuzi watupu

Mnapita mbele za wanaume na khanga moja imelowa maji ndembendembe huku mkitikisa wowowo
 
Kuna kinega kimoja hua kinarandaranda nyuzi za watu kutukana.
 
Mauaji ya halaiki
433-20220421-0003.jpg


Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Vs Asenyani

---------WERNER ----- KAI ----- MOUNT ------------

ALONSO ---- KANTE --- CHEEK -------- JAMES

----- RUDGER ------ SILVA --- CHRISTENSEN---

Werner:- amekuwa kwenye kiwango bora sana, aendeleze moto wa assist + goals.

Cheek:- Leo apige pass na dribbling zake kwenda mbele na kuungana na Werner, Kai, Mount kwenye kushambulia.

Leo ni mechi ya kuonea dagaa

Point 3 muhimu.
pole sana
 
Ukiachana na sisi Mashabiki wa Chelsea kuumia kwa Matokeo ya Jana wengine walioumia sana ni Wale wa Kubet, maana hadi mashabiki wa Arsenal walibet timu yao ifungwe ivyo wameuimia sana.

Poleni sana Nyoote mlioumia Huo ndo mpira ulivyo
 
Huyu Nketiah alikuwa ni academy wa Chelsea tangu akiwa na miaka 8 Chelsea wakamuachia aondoke akiwa ba miaka 16 bure bure labda Chelsea hawakuona viable talent kwake. Sasa wachezaji kama hawa wakija darajani watahitaji kuprove kuwa wanaweza na hawakutendewa haki huko nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom