Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

There are 4 bids that appear to have the inside track:

Investors assembled by LA Dodgers co-owner Todd Boehly
A bid led by the Ricketts family
Group involving Sir Martin Broughton, Josh Harris & David Blitzer
An offer from NY Jets owner Woody Johnson

(Athletic)
 
There are 4 bids that appear to have the inside track:

Investors assembled by LA Dodgers co-owner Todd Boehly
A bid led by the Ricketts family
Group involving Sir Martin Broughton, Josh Harris & David Blitzer
An offer from NY Jets owner Woody Johnson

(Athletic)
Hawa kina Rickett Family mashabiki hawawakubali kabisa kwababu ya matukip yao
 
Saudi hawapewi chapuo km watashinda, inavyoonekana mmiliki mpya atatokea usa or uk tho lolote linaweza tokea
Watakuwa wamewaonea kwasababu hao wa waarabu ndio wametoa bid kubwa kuliko matajiri wote wanaotaka kuinunua Chelsea
 
Ingefaa sana wangepewa Waarabu lakini Huko Mbeleni UK or US wakikwaruzana na waarabu yanatokea yaliyotokea Kwa Abramovich kufukuzwa , kuwekewa Vikwazo na Account Kugandishwa....

Wakichukua Wamarekani Au Waingereza ni Vigumu Timu kuja kuwekewa Vikwazo kisiasa kwa maana ...watakuwa wanajikomoa wenyewe...

Haya yaliyoipata Chelsea yanasumbua Na kutia hofu matajiri wengi...japo hawasemi..

Wamiliki wa Man city, New Castle, Leicester na PSG hawana utulivu kwa maana huko mbeleni lolote laweza kutokea.....

Timu ikichukuliwa na Wazungu itakuwa salama lakini sasa kwenye suala la Usajili na Kubana matumizi Tusije Kuwa kama Arsenal...
 
Mwaka 2010 wakati Liverpool inauzwa Matajiri wa Saudi Arabia walikataliwa Offer zao na sababu kubwa waliyotoa Waingereza ni "Saudi Arabia's human rights record and accusations of TV piracy".

Nadhani sababu hiihii ndiyo inayopelekea hao waarabu wasipewe kipaombele kwenye kuuziwa Chelsea.
Mbona New Castle wamepewa kununua
 
Sure urafiki wa USA na UK kwa mwarabu ni wa kinafiki, kimaslahi ya biashara.

Mwarabu ni mnunuzi mkubwa wa silaha za USA.

USA na UK hawaridhishwi na Saudi kunyonga raia wanaomkosoa ila kwa sasa wapo nae kibiashara zaidi.

Ipo siku rungu litamwangukia

Juzi Sheikh Mansoor amenyooshewa kidole na UK kwa kufanya ziara Syria
UK wanategemea mafuta/petrol kutoka saudi, na juzi juzi hapa Boris alitoka huko, na akawaambia anawakaribisha wasaudia uk waje wawekeze

Shida ni mafuta, unahisi uk leo hii akizima uhusiano na saudi or falme za kiarabu mafuta atatolea wapi,

Ye mwenyewe ndip mdhamin mkubwa wa vita vya yemen
 
Inavyoonekana Chelsea itauzwa kwa zaidi ya paundi bilioni 3 na kufanya haya mauzo katika sports mauzo makubwa kuwahi kutokea

Chelsea are likely to be sold for highest ever price paid for a sports franchise
More than 20 parties have made bids to buy club from Roman Abramovich
It's expected #CFC will be sold for £3bn, a sum that would beat the £2.5bn paid for the Brooklyn Nets

@mjshrimper

— The Athletic UK (@TheAthleticUK) March 22, 2022
 
UK wanategemea mafuta/petrol kutoka saudi, na juzi juzi hapa Boris alitoka huko, na akawaambia anawakaribisha wasaudia uk waje wawekeze

Shida ni mafuta, unahisi uk leo hii akizima uhusiano na saudi or falme za kiarabu mafuta atatolea wapi,

Ye mwenyewe ndip mdhamin mkubwa wa vita vya yemen
Point
 
Hayo mengine hatuwezi kuwa na majibu yake ila tutosheke na kile kinachoonekana kwenye macho yetu.

Emre Can, Ozil na Guandogan hawa Wote ni Waturuki waliohamia Ujerumani na wote walipiga picha na Raisi Erdogan lakini lawama na kutengwa akafanyiwa Ozil pekeyake huku Emre na Guando wakiendelea kupeta.

So, Wazungu wanachokifanya wanakijua wenyewe pale wanapokutafutia sababu.
Kweli mkuuu nimekuelewa kwa sauti ya juuu sana
 
Process yake ni ndefu siyo sawa nakuuza shamba inachukua siyo chini ya siku 30 au zaidi.
Viroho vyetu viko juu. tunataka kujua ili tujue kama tuanze kuishi kwa matumaini au la. Kwa Abramovich tulikuwa na ubabe sasa huko tunakokwenda sijui ubabe utaendelea au ndio mwisho wake
 
Taarifa zinasema Rudiger anamsubiri mmiliki mpya wa timu ndipo afanye maamuzi

Sourse: SkyItalia
 
Hatimaye tumeruhusiwa kuuza tiketi

Chelsea will be allowed to sell tickets to away games, cup matches and fixtures involving the women's team after the UK government made alterations to the club's special licence.
Source: Chelsea allowed to sell tickets again
1648124332159.png
 
Wamiliki wa uwanja wa darajani watoa onyo kwa mmiliki mpya

Wamesema mmiliki yeyote hatakiwi kuihamisha Chelsea kutoka darajani. na mmiliki yeyote atakayetaka kuiboresha uwanja ni lazima awaone kwanza wamiliki wa uwanja kabla hajafanya lolote

Huko tunakokwenda Chelsea FC inaweza ikabadilishwa jina kwa sababu mkataba na wamiliki wa uwanja unadaia atakayetaka kuhama uwanja hataruhusiwa kutumia jina la Chelsea FC tena

Chelsea Pitch Owners make strong statement to any new buyers wanting to change stadiums​


Source: Chair of Chelsea Pitch Owners says new owners cannot move club to a new stadium
 
Saudi Media are out of the race to buy Chelsea. They weren't selected by Raine Group, they are disappointed but open to joining another consortium #CFC

nizaar Kinsella
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom