Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vs Asenyani

---------WERNER ----- KAI ----- MOUNT ------------

ALONSO ---- KANTE --- CHEEK -------- JAMES

----- RUDGER ------ SILVA --- CHRISTENSEN---

Werner:- amekuwa kwenye kiwango bora sana, aendeleze moto wa assist + goals.

Cheek:- Leo apige pass na dribbling zake kwenda mbele na kuungana na Werner, Kai, Mount kwenye kushambulia.

Leo ni mechi ya kuonea dagaa

Point 3 muhimu.
Kutokana na Arsenal ilivyo nazani pale mbele aanze Lukaku badala ya Kai itakuwa vizuri
 
Vs Asenyani

---------WERNER ----- KAI ----- MOUNT ------------

ALONSO ---- KANTE --- CHEEK -------- JAMES

----- RUDGER ------ SILVA --- CHRISTENSEN---

Werner:- amekuwa kwenye kiwango bora sana, aendeleze moto wa assist + goals.

Cheek:- Leo apige pass na dribbling zake kwenda mbele na kuungana na Werner, Kai, Mount kwenye kushambulia.

Leo ni mechi ya kuonea dagaa

Point 3 muhimu.

Ingawa sitegemei Hilo lakini mpira hauna adabu unaweza kufungwa pale usipotegemea! Hivi Arsenal itokezee Akubahatishe akupige je leo utajisikiaje kina WillJr na Castr watakapojazana hapa?
 
Ingawa sitegemei Hilo lakini mpira hauna unaweza kufungwa pale usipotegemea! Hivi Arsenal itokezee Akubahatishe akupige je leo utajisikiaje kina WillJr na Castr watakapojazana hapa?
Labda itokee team yetu wameingia wakiwa wamepiga mbususu zakutosha na ulanzi lakini tofauti na hapo hakuna namna Unaweza kusema Arsenal anapata matokeo dhidi ya Chelsea
 
Vs Asenyani

---------WERNER ----- KAI ----- MOUNT ------------

ALONSO ---- KANTE --- CHEEK -------- JAMES

----- RUDGER ------ SILVA --- CHRISTENSEN---

Werner:- amekuwa kwenye kiwango bora sana, aendeleze moto wa assist + goals.

Cheek:- Leo apige pass na dribbling zake kwenda mbele na kuungana na Werner, Kai, Mount kwenye kushambulia.

Leo ni mechi ya kuonea dagaa

Point 3 muhimu.
Leo Kai anapumzishwa
Pia sidhani kama Kante wanacheza pamoja na Cheek kwani wanachezea upande mmoja labda kama Jorginho ana shida
kwa maoni yangu Kuna kila uwezekano Lukaku akaanza badala ya Kai na Jorginho badala ya Kante
 
Ingawa sitegemei Hilo lakini mpira hauna adabu unaweza kufungwa pale usipotegemea! Hivi Arsenal itokezee Akubahatishe akupige je leo utajisikiaje kina WillJr na Castr watakapojazana hapa?
Tumetoka kushindwa mechi mbili mfululiza pale darajani, Arsenal hawataweza kutufanya kichwa cha mwendawazimu
Kuwafung ni lazima hakuna namna nyingine
  • Uwezo tunao
  • Sababu tunayo
  • Nia tunayo
  • Imebaki kazi moja tu
  • Ni kumpiga huyo nduli
 
KIKOSI CHA MAUAJI LEO
343

WERNER --LUKAKU--MOUNT

ALONSO--CHEEK--KANTE--JAMES

SARR---CHRISTANSEN--AZPILICUETA

MENDY
 
1650479006393.png


LINEUP FORMATION 343

WERNER --LUKAKU--MOUNT

ALONSO--CHEEK--KANTE--JAMES

SARR---CHRISTANSEN--AZPILICUETA

MENDY
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom