Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Pale hakuna kocha pale hana mbinu za kufundisha simuoni msimu ujao maaana ni kocha mjinga kabisa hajui kuchagua kikosi hovyo kabisa malng sarr' Christian Lukaku azplicueta naona kma timu ya Chelsea imeoza hata mendy nae hanisi anahitaji ssa kukaaaa bench
Saiz mnawatukana tena?
 
Utumbo huu mpira umeisha washinda!
Third consecutive home defeats
1-4 against Brentford
1-3 against Madrid
2-4 against Arsenal

Tuchel has to go,anabahatisha tu
 
Bao mbili za mwanzo mkajifanya wajanja

Kipindi cha pili vijana wakapaka vumbi mamaaeeee
Chukulia hili nalo lina familia tena linaulamba kabisa mkanda nnje lakini kichwani daaah...., kwa akili hizi CCM iendelee kukaa madarakani TZ milele
 
Utumbo huu mpira umeisha washinda!
Third consecutive home defeats
1-4 against Brentford
1-3 against Madrid
2-4 against Arsenal

Tuchel has to go,anabahatisha tu
Tuchel haondoki hapo kamwe! Mpaka wewe na ukoo wenu mfe muishe na kusahaulika kabisa duniani ili aendelee kuwakalia kileleni EPL kama sasa hivi na kujaza vikombe kabatini
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom