Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huyu Nketiah alikuwa ni academy wa Chelsea tangu akiwa na miaka 8 Chelsea wakamuachia aondoke akiwa ba miaka 16 bure bure labda Chelsea hawakuona viable talent kwake. Sasa wachezaji kama hawa wakija darajani watahitaji kuprove kuwa wanaweza na hawakutendewa haki huko nyima
Basi tumefuta magoli yake mawili.

Mechi ni suluhu 2 - 2
 
OllaChuga Oc aonekana page ya IG ya chelsea akitukana.

Screenshot_2022-04-21-08-48-11-90.jpg
 
Lukaku atolewe bure
Christansen aachwe asepe kwa amani hayupo nasi tena
Sarr takataka sinui TT anaona nini kwake
Magoli karibia mawili ni ujinga wa Sarr
Goli la kwanza mistake ya Christansen
Ti.u kulemewa kwenye fi al third ni uzito wa Christansen na Sarr
Kwa ujumla hao wachezaji watatu walituuza jana japo ukatili na umakini wa timu nzima jana ulikuwa haupo kabisa
 
Thom akaona beki iko hovyo akamuingiza Silva ili kukomelea ulinzi.

Arteta akafanya nini? Akawawekea wimbo wa Kanyaga wa Diamond, katika dakika 15 za mapumziko 10 zimetumika kusikiliza huo wimbo.
 
2019/20 - Kante and Kepa mistakes.
2020/21 - Jorginho mistake
2021/22 - Christensen, Sarr and Azpicueta mistakes.

Why are we always so unserious against Arsenal at the Bridge?
Sio jana tu mara nyingi tunapocheza na tim ambazo zimetoka kupata matokeo mabovu mfululizo huwa tunajikuta tunapoteza, tunafanya too many mistake
Game ha brentford ilikuwa hivyo hivyo, game ya madrid, jana pia
 
Vs Asenyani

---------WERNER ----- KAI ----- MOUNT ------------

ALONSO ---- KANTE --- CHEEK -------- JAMES

----- RUDGER ------ SILVA --- CHRISTENSEN---

Werner:- amekuwa kwenye kiwango bora sana, aendeleze moto wa assist + goals.

Cheek:- Leo apige pass na dribbling zake kwenda mbele na kuungana na Werner, Kai, Mount kwenye kushambulia.

Leo ni mechi ya kuonea dagaa

Point 3 muhimu.
Na dagaa wameonewa kweli,maana ukitaka kujua wingi wa bao 4 muulize demu yeyote hapo uliye karibu nae....

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Sio jana tu mara nyingi tunapocheza na tim ambazo zimetoka kupata matokeo mabovu mfululizo huwa tunajikuta tunapoteza, tunafanya too many mistake
Game ha brentford ilikuwa hivyo hivyo, game ya madrid, jana pia
Timu inakuwa tooooo relaxed
 
Huyu Nketiah alikuwa ni academy wa Chelsea tangu akiwa na miaka 8 Chelsea wakamuachia aondoke akiwa ba miaka 16 bure bure labda Chelsea hawakuona viable talent kwake. Sasa wachezaji kama hawa wakija darajani watahitaji kuprove kuwa wanaweza na hawakutendewa haki huko nyima
We jamaa ni mpuuzi sana,ndio mana nakuonaga huna akili vizuri. Sasa huyo Nketiah ana talent gani? kw kufunga magoli kw makosa ya mabeki kugongana gongana ndio afunge. Na angepiga pasi kama ile ya modric au ile y Mane. Ungesemaje.

Arsenal wametufunga sababu ya ubwege wa Tuchel. Yule kocha sometym ni mduanzi sana. na masikio yake kama amepulizwa na upepo.
 
Hawa wajinga wakifungwa 5 na West Brom hawana tatizo.

Wakifungwa nne na Brentford hawana tatizo.

Wakifungwa na Arsenal kikosi ndiyo kinaonekana hakifai, Tuchel out, Lukaku hafai agawiwe bure.

Na yule jamaa atakuja na uchang'ombe wake akielezea utumbo mpya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom